kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Njoo usiogopeVya bure ghali
Labda mzee keshasepa wamegawana urithi
Mimi sinaga mshahara, nmejiajiri, asubuhi tarehe 1, jioni mwisho wa mweziAjira mpya umekutana na mshahara na Hela ya kujikimu.
Wakuu tumwambie ukweli au tumuache kidogo
Umejipata
Mzee Bado yupo, Tena kakaa sawa kabisa, kama ulikua unaombea afe umekwama, na inawezekana wewe ndio mchawi wetu, nmeamini jf Kuna maskini mbwa aisee wanawaza sana ujingaLabda mzee keshasepa wamegawana urithi
Yes mani hapa nipo kwenye ungo naelekea sumbawanga ku boost kwanza usiku nakuja hukoMzee Bado yupo, Tena kakaa sawa kabisa, kama ulikua unaombea afe umekwama, na inawezekana wewe ndio mchawi wetu, nmeamini jf Kuna maskini mbwa aisee wanawaza sana ujinga
Nitumie Kilo Moja nikupe namba za connectionNanianichanganye nimfue???
Nimkamie?
Nimkande.??
Hahahaha wapi hiyo?Nitumie Kilo Moja nikupe namba za connection
Endelea kulogaYes mani hapa nipo kwenye ungo naelekea sumbawanga ku boost kwanza usiku nakuja huko
Na nimepata unyayo wako safari hii nipo na nyieEndelea kuloga
Huyu hata ukimwambia ukweli ataona unamharibia. Muache tu na hizo hela za urithi. Akimaliza ataleta tred tena kuliaAjira mpya umekutana na mshahara na Hela ya kujikimu.
Wakuu tumwambie ukweli au tumuache kidogo
Kununua tu paracetam 1 ya Baba yake alishindwa
ππππNanianichanganye nimfue???
Nimkamie?
Nimkande.??