M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
-Lissu amesema muhusika ni Jiwe, ukimya/kigugumizi cha serikali kukanusha wanamlinda nani?Kuna shahidi yoyote wa hilo tukio mkuu aliyekueleza alichokiona hadi sasa?
Inawezekana ndio maana wanasema muhusika wa ushahidi ni tundu mwenyewe na associates wake. Hii kesi haina hata mpita njia anayefahamu kilichotokea.
Au mimi ndio sijui?
Bas hatuna la kusema mkuuNa kumbuka.mchezo wa kuchezea katiba na chaguzi vimegharimu maisha ya wengi. Akwilina aliuawa akiwa siyo mshiriki wa maandamano.
Aliyesababisha maandamano sasa ndo boss Tume ya Uchaguzi. Je unadhani haya ni bahati mbaya?
Hata kama waling'oa zile CCTV cameras lakini footages huwa zinakuwepo kwenye severs, cameras huchukua footages na kuzirekodi.Camera za CCTV eneo la tukio ndiyo msema kweli.
Kuna nini hadi zitolewe baada ya tukio?
Dereva ndiye aling'oa cameras? Je footages za tukio kwenye severs polisi wamezificha wapi? Tunataka tuone tukio zima lilivyokuwa na si kudanganyana kama mabwege.Dereva!
Tangu miaka ya 2000 inaanza ninajua uwepo wa softwares za kuretrive deleted data. Hata ukiiformat server mara kumi bado data zote zilizokuwepo zinaweza kuwa reatored.Hata kama waling'oa zile CCTV cameras lakini footages huwa zinakuwepo kwenye severs, cameras huchukua footages na kuzirekodi.
Kwanini polisi(hasa awamu ya Jiwe) walizificha? Walikuwa wakimlinda nani? Je inawezekana waliziharibu kabisa kuficha/kuharibu ushahidi?
Lisu na Mbowe ilibidi hii ndiyo iwe agenda ya kwanza kwenye huu upatanishi. Mkuu wa nchi yupo na wahujumiwa (Lisu na Chadema) mpo, this was the first issue to be raised otherwise you are taking us for granted !Kwa mujibu wa yanayoendelea nchini sasa ni kwamba wananchi wengi hawaamini kauli nyingi za serikali hususani zinazotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu masuala ama matukio ya kinyama waliyofanyiwa upinzani.
TUndu Antipas Lisu ni Mtanzania anayestahili haki zote za kikatiba na kisheria. Haki yake ya kuishi iliingia majaribuni baada ya tukio la kinyama dhidi yake lililomlazimu kukimbia nchi huku akiwa anapatiwa matibabu.
Tumemsikia akisema waziwazi kuwa mkuu wa awamu ya Tano ndiye aliyeamuru kushambuliwa kwake kwa lengo la kutoa uhai wake. Mpaka sasa ninavyoandika hapa hakuna mtuhumiwa yeyote aliyehojiwa wala kushtakiwa kwa tukio hilo la unyama wa mchana kweupe.
IGP mstaafu alisema kuwa mwenye ushahidi tosha ni mtendewa yaani Lisu. Hivyo anatuaminisha kuwa endapo Lissu angekufa basi case ingekuwa closed kitambo. Tumejulishwa na wasamaria wema kuwa CCTV kamera zilizorekodi tukio ziliondolewa mara baada ya tukio.
Ni jambo gani linaloipa serikali kigugumizi kuchunguza na kuchukua hatua dhidi ya walioitia doa baya sana nchi kwa tukio lile?
JPM ni mwaka wa pili sasa hayupo na hana amri ya kuzuia uchunguzi. Je tunapaswa kuendelea kuamini kuwa aliamrisha yale yaliyotokea? Kuna uzito gani kumpatia Tundu Lisu haki yake kwa kuwahoji na kuwashtaki waliohusika na shambulizi lile?
Nilishamgaa sana Kwa JF ya Max kukulinganisha wewe na Erythrocyte, you are a disgrace kama pascaliDereva!
Tangu miaka ya 2000 inaanza ninajua uwepo wa softwares za kuretrive deleted data. Hata ukiiformat server mara kumi bado data zote zilizokuwepo zinaweza kuwa reatored.
Nini kinazuria utaalam wa kurudisha data kutumika ili ku unveil ukweli