Nani aliiba idea ya mwenzake, Mwana FA au Jay Mo?

Nani aliiba idea ya mwenzake, Mwana FA au Jay Mo?

Hakuna aliyeiga idea ya mwenzake, kikubwa nilichokiona mimi ni kwamba kwenye ujana unaweza kuta watu wawili au wengi wenye mfanano wa kimawazo lakini tofauti inakuja kwenye uwasilishaji wa hayo mawazo yao. Mfano Jay moe yeye ameelezea jinsi mwanamke anaemtaka anavyotaka awe (Kama unataka dem sema unataka aweje aweje) lakini mwana fa yeye ameelezea namna ya wanawake anaowapenda na jinsi wanavyompenda (Mi na mabinti dam dam kaeli).
[emoji106][emoji106]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Amani iwe nanyi....!
Hilo wazo, na hiyo nyimbo kiasili ni ni ya Mo Techics. Nakumbuka Mo akiwa anahojiwa katika kituo cha Redio One Stereo, mtangaji akiwa ni Aboubakar Sadiki mwaka kama sikosei sana ni 2005; alipoulizwa swali kama hili alijibu....
"nyimbo ya Mimi na mabinti damudamu ilikuwa ni yangu, nikapanga nimshirikishe Mwana FA, ila huku na kule nikaisikia inapigwa redioni, ikiimbwa na Mwana FA."

Hivyo ikabidi yeye atumie "technics" zake aandike maneno mengine katika wazo karibiano. Na hapo ndipo akatoa ngoma ya "Kama unataka Demu." na mambo yakaisha hivyo.

Na nakumbuka akaendelea kusema, ni kama wananionea maana hata " beat" ya nyimbo ya Mzee wa Mitulinga/Niga Jay/Prof Jay ya "Promota", ni ya kwake(Jay Mo) na aliitumia kurekodi nyimbo yake ya "Cheza kwa step" ft Genious Ngwair(PKA). Lakini baada ya kupishana kidogo na Majani, mdundo akauziwa Prof Jay.

Lakini, baadaye waliyaweka sawa, na Mo akapewa mdundo mwingine, akaingiza tena mistari ya Cheza Kwa Step akiwa na jirani yake wa Chamber Squad(Ngwair) Mambo yakaisha kihivyo.

Hivyo basi, kati ya Jay Mo, na Mwana FA mwizi alikuwa Mwana FA.
 
Wote wamemtaja Radhia na Kithethe,Wote wamemtaja Seven....Nina imani 100% kuna mtu alidukua idea ya mwenzake ila NGOMA ZOTE ZILIKUWA KALI.

Ingekuwa vipi hiyo ngoma nakumbuka ilikuwa kama sio 2001 au 2002 hiyo..
 
Hakuna aliyeiga idea ya mwenzake, kikubwa nilichokiona mimi ni kwamba kwenye ujana unaweza kuta watu wawili au wengi wenye mfanano wa kimawazo lakini tofauti inakuja kwenye uwasilishaji wa hayo mawazo yao. Mfano Jay moe yeye ameelezea jinsi mwanamke anaemtaka anavyotaka awe (Kama unataka dem sema unataka aweje aweje) lakini mwana fa yeye ameelezea namna ya wanawake anaowapenda na jinsi wanavyompenda (Mi na mabinti dam dam kaeli).
[emoji106][emoji106]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
Yes uwezekano wakufanana mawazo upo, lakini Kuna uwezekano mkubwa waliibiana idea ukizingatia hawa watu miezi michache kabla hawajatoa hizi ngoma walikuwa wameshirikiana kwenye kazi nyingine na walikuwa na ukaribu, na baada ya hizo ngoma kutoka ni kama walikuwa na kabifu ka chinichini
 
Yes uwezekano wakufanana mawazo upo, lakini Kuna uwezekano mkubwa waliibiana idea ukizingatia hawa watu miezi michache kabla hawajatoa hizi ngoma walikuwa wameshirikiana kwenye kazi nyingine na walikuwa na ukaribu, na baada ya hizo ngoma kutoka ni kama walikuwa na kabifu ka chinichini
Ila sikatai kwa mtazamo wako kwani hata Dj carter alishaingia kwenye bifu na Q chillah kwa ajili ya Wiper, then Jaffarai pia alishaingia kwenye bifu na Q chillah kwa ajili ya my boo, Ngwea na Mchizi mox kwa ajili ya mikasi, na hiyo yote ni kutokana na kuwa aidha walikuwa wanafanyakazi pamoja au kuna mmoja alimshirikisha mwenzake kwenye uandishi wa nyimbo. Ila pia kama kuna mmoja alimuibia mwenzake basi Jay moe ndio mwenye idea ya wimbo, na snitch mwanakhamisi [emoji38][emoji38][emoji38] (aka Mwana fa) ndio ameiga mawazo ya Jay moe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Kwa maana nyimbo ya Jay moe (Kama unataka dem) imepangika vizuri sana, beat nzuri na hata featuring nzuri (Solo thang) nyimbo imetulia tena haichuji. [emoji106][emoji106]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Pia tukumbuke hawa jamaa walikuwa wakifanya kazi kwa ukaribu kuanzia kwenye Ingekuwa vipi. [emoji106][emoji106][emoji106]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Kipindi hicho husikii kibakuli sijui domo wanaume watupu me hata dar sijaijua wajameni
 
Ila sikatai kwa mtazamo wako kwani hata Dj carter alishaingia kwenye bifu na Q chillah kwa ajili ya Wiper, then Jaffarai pia alishaingia kwenye bifu na Q chillah kwa ajili ya my boo, Ngwea na Mchizi mox kwa ajili ya mikasi, na hiyo yote ni kutokana na kuwa aidha walikuwa wanafanyakazi pamoja au kuna mmoja alimshirikisha mwenzake kwenye uandishi wa nyimbo. Ila pia kama kuna mmoja alimuibia mwenzake basi Jay moe ndio mwenye idea ya wimbo, na snitch mwanakhamisi [emoji38][emoji38][emoji38] (aka Mwana fa) ndio ameiga mawazo ya Jay moe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Kwa maana nyimbo ya Jay moe (Kama unataka dem) imepangika vizuri sana, beat nzuri na hata featuring nzuri (Solo thang) nyimbo imetulia tena haichuji. [emoji106][emoji106]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
Ile chorus ya Chillah ni faya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMA UNATAKA DEM -JAY MOE FT SoloThang n Q Chilah

CHORUS
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiaajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?


VERSE 1__JayMo

Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho,
Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi,
Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho
Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho,
Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta,
Belinda na Mose wakirealize vipi watadata?
Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita,
Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa,
Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun,
Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu,
Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya,
Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima,
Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama,
Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri
Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali,
Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari,
Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi,
Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi,
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 2__JayMo

Sasa nakwenda kwenye majina na heshima mahususi,
Kama Phobia, Judithi Domini au kama uups!
Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya?
Nadhani mamiss hawataniona tena mi mbaya
Ila awe mkweli, siyo mambo ya Miss California
Awe kama Sister Jay mweupe kama Eugenia,
Na maradhi niliyoyataja naomba msiwe na kinyongo,
Mi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo,
Kusema mtoto wa tajiri mi namchagua Regina,
Tukisema model ni Miriam Odemba au hapana,
Tukisema miss, Aminata Keita haina noma
I FM watakoma kwa muda wote ambao wanasoma,
Ila ataweza vipi kuimba RnB kama Stara?
Au ni sana Miss Color Bar wa leo kuwa msela
Nini gado kama Zeidin mrefu kama Bascilla,
Design Khadija mavazi akatoneshee kajara,
Nitahakikisha hakuna machozi kama Jay Dee
Sitosubira sema anakuja kama Sister P
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Kama ukija Bills utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 3_SoloThang

Yoh nataka dem miguu mizuri kama Ray C
Macho kama Acy, alcoholic ka Sister V
Napenda dem awe sister dread kama Baby
Naogopa sana mpenda chapaa kama Dotty
Awe anapenda rap siyo bolingo kama Essy
Mchizi ka Nazizi ila bright kama Cecil
Mrefu siyo mfupi na nyama asiwe mwembamba
Hewani kama gesi kiuno kama Odemba,
Asiwe lady flani hajui kupiga pamba,
Avae kama Seven japo atoke bomba
Awe anajua kupika, awe anang'aa kama Sanka
Laini kama mafuta kwenye giza awe anawaka
Awe anang'ara, apoze zangu harara
Awe na sauti tamu kuliko ile ya Stara,
Siyo kauzi kama Nina bora mcheshi kama Norah
Ili nimpende sana waganga wasijenipora
Awe na ishi ama questions bila mamake Jipsy
Ili siku ikichacha tukakope hata chipsi
Maridadi, mvuto wa zamaradi
Apitapo maskani washkaji mpandwe midadi
Awe na uvundo ka zinduna, mjanja kama Munah
Awe na tabasam siyo kila siku ananuna,
Kama ntapata demu itakuwaje fikiria,
Lafudhi iwe tamu siyo kithethe ka Radiya
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia

CHORUS

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuu

Its not over until its over...[emoji769]
 
Wahenga wenzangu,

Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za redio, cha ajabu idea ya hizi nyimbo zinaendana sana.

Mimi naamini ufanano wa idea zao haikuwa coincidence, ni lazima kuna mmoja alidukua idea kutoka kwa mwingine na ukizingatia before hizi ngoma kutoka waliwahi kufanya kazi pamoja kwenye wimbo uliomtoa MwanaFA (Ingekuwa vipi). Je, ni nani alikopi idea mwenzake? Na ngoma ipi ilikuwa kali zaidi?

KAMA UNATAKA DEM
- Jay Mo ft SoloThang n' QChief - Produced by PFunky Majani

MABINTI DAM DAM - MwanaFA ft Mariam SK - Produced by Bon Luv ( I'm not sure)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka dem ya Jay mo ni kali kushinda Mabinti ya Mwana FA. (Fikra zangu)

Ni ngoma mbili tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom