Unadhani lipi laweza kuwa jina linalobeba hamasa kwa timu yetu ya Taifa? Likia akisi baraka na utajiri Mungu alio tukirimia kama Taifa..?Hiyo ni nickname wakuu " inapokuwa kwenye mechi za kimataifa .. huwaga inaitwa TANZANIA.. by the way ushauri wako pia sio mbaya .. tunaweza tafuta nickname nyingine mpya ambayo ina akisi kile ambacho kipo nchini kwetu ".. haswa katika sekta ya utalii na mali asili ili tuweze kuitangaza nchi kimataifa kwa wepesi zaidi
Mkuu unajisikiaje ukirudia kusoma mchango wako.Jina la Taifa stars tu ndugu zangu wasukuma na wamakonde hawawezi kulitamka vizuri je tukiongeza likawa giraffe si ndio ajari za kujing'ata ulimi zitazidi usukumani..
Kama vipo waitwe "FARU JOHN"
Huenda lina maana ya "nyota" je ni nyota ipi hapo ndio kwenye tatizo..! Na je hiyo nyota inabeba ujumbe gani kwa Timu ya Taifa huko sitaki kuendelea ila naona kama neno "Nyota" halina morali yoyote kimichezo.Samahani kwa kunakili habari yote. Mimi sijui na naomba unifahamishe stars maana yake nini?
Kama ilivyoshauriwa hapo juu :Ningefurahi kama ingeitwa The Tanzanites au Cheetahs!Je watumie utambulisho upi? Nimeona Giraffe kwenye ndege zetu. "Air Tanzania" na nikajaribu kuwaza sifa za kipekee za Twiga.
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
Tuendeleze malalamiko na kulilaani jina Taifa stars na kuwaaminisha wengine kuwa hilo jina limelogwa,halifai,halina mvuto na ndiyo hasa kisa cha kushindwa kwetu kufikia mafanikio ya juu. Nimeandika kwa utani ila ndiyo hivyo.Mkuu tunafanyaje ili hoja ipate nguvu na kuwafikia wahusika?
Najiskia 'safi na salama' kabisa .Mkuu unajisikiaje ukirudia kusoma mchango wako.
Hapana labda tunaweza tengeneza hoja kuwa jina "Stars" halina morali ya kimichezo halitengenezi hamasa yaani "mzuka" wa watu kupambana.!Tuendeleze malalamiko na kulilaani jina Taifa stars na kuwaaminisha wengine kuwa hilo jina limelogwa,halifai,halina mvuto na ndiyo hasa kisa cha kushindwa kwetu kufikia mafanikio ya juu. Nimeandika kwa utani ila ndiyo hivyo.
Ikiitwa Tanzania means na Zanzibar wapo ndani, ilhali kule nako wana timu yao Zanzibar Heroes.Hapa duniani kuna roho mbili zinazoongoza nafsi roho mbaya. Na roho nzuri. Sabbu wewe umeamua kuitwa FISI ni vema wewe na ukoo wako mkaitwa hivyo lakini sisi wengine tunatazama kwa mtazamo ulio chanya zaidi.
Ndio maana tunahitaji mabadiriko ya jina ambalo litabeba maana kwa Taifa letu.
"TANZANIA."
Duh....hilo jina ni la gazeti la Musiba.Mimi naona waitwe THE TANZANITE
Tanzania hakunj Cheetah,Tanzanite hata usipoitangaza inauzika,watangaze mlima.Kama ilivyoshauriwa hapo juu :Ningefurahi kama ingeitwa The Tanzanites au Cheetahs!