kocha Paul West Gwivaha baada ya kuulizwa na waandishi "what's the name of the team which these star's called " then answered the Taifa starsUmeeelezea upande hasi (-) je unaweza kuwa na uwezo wa kuona upande wa mafanikio.chanya (+) ya huo mwenge hata kidogo?
Mfano namnukuu mwanzilishi wa wazo la Mwenge Mwalimu Julius K
Nyerere alisema " sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya kilele cha mlima kilimanjaro ili ulete tumaini."...
Je katika wazo / maneno hayo kuna uchawi au ugagula.huo uusemao..? Je unafahamu umuhimu wa bendera zaidi ya kuona kuwa ni kitambaa tu, ? Unajua sabbu ya rangi zinazowekwa katika bendera..?
Turudi katika hoja yangu ya jina la timu yetu ya Taifa ni vizuri tukawa na Jina linaloelezea jambo fulani ama tukio fulani linaloleta maana katika Nchi.
Mathalani walio tangulia wameeleza vema katika hilo.
Spain ..... La Furia Roja.JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
Belgium= Red devilsEngland - The Three Lion
Brazil - Selecao
Hao wengine pia wana majina yao japo sijayakariri
Wote hao wana majina yanayobeba tukio/maliasili/jambo linalotambulisha nchi husika
Hana hojaunayo hoja .
LOL...!!Twiga Stars, tatizo nyota.
Nyota inayoongelewa ile ya Taifa na ya Twiga ni spiritual stars.
Zodiacal stars signs, sio zile nyota za angani.
Jina zuri kwa kutangaza raslimali zetu.
Lakini mkuu
Hamasa yake uwanjani itakuwa ipi?Hatuwezi geuzwa mgodi?[/QUO
shida IPO hapo kila siku sisi shamba la bibi
Ebana nimekubali mkuuTANZANITE MASAII MORANS (Warriors), Hapa tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Kwanza tuta paisha madini yetu pia tutaenzi moja ya kabila letu kubwa. Kwa kua Kenya pia kuna wa masai neno Tanzanite pia litakua likionesha tunaongelea upande wa Tanzania.Tuta ingiza ile hali ya ujasiri wa morani wa kimasai wa kuwinda kwenye mbuga zenye wanyama wakali na kunywa damu za wanyama. Kabla ya game wachezaji watacheza ile ngoma ya kimasai ya kupandisha mori hii itakua na mvuto wa kibiashara, pia italeta hali ya umoja na kupambana kwa wachezaji. Pia ita amsha hamasa kwa mashabiki kipindi mchezo una endelea mashabiki wana eza pia wakawa wanashangilia kwa kupandisha mori. New Zealand wana ngoma yao inaitwa HAKA huwa wanaicheza kabla ya michezo yao hua inahamsha hali na kuleta mvuto kwa timu zao. Jezi zetu pia zinaweza wekwa nakshi za Tanzanite uzuri nayenyewe ni ya blue.
Au Moran's of the KILIMANJAROTANZANITE MASAII MORANS (Warriors), Hapa tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Kwanza tuta paisha madini yetu pia tutaenzi moja ya kabila letu kubwa. Kwa kua Kenya pia kuna wa masai neno Tanzanite pia litakua likionesha tunaongelea upande wa Tanzania.Tuta ingiza ile hali ya ujasiri wa morani wa kimasai wa kuwinda kwenye mbuga zenye wanyama wakali na kunywa damu za wanyama. Kabla ya game wachezaji watacheza ile ngoma ya kimasai ya kupandisha mori hii itakua na mvuto wa kibiashara, pia italeta hali ya umoja na kupambana kwa wachezaji. Pia ita amsha hamasa kwa mashabiki kipindi mchezo una endelea mashabiki wana eza pia wakawa wanashangilia kwa kupandisha mori. New Zealand wana ngoma yao inaitwa HAKA huwa wanaicheza kabla ya michezo yao hua inahamsha hali na kuleta mvuto kwa timu zao. Jezi zetu pia zinaweza wekwa nakshi za Tanzanite uzuri nayenyewe ni ya blue.
Naunga mkonyo hoja mkuuiitwe "Chato Stars"
England inaitwa the three LionsJAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
or "Bashite Stars"Alias ya timu yetu ya taifa ingekuwa "We Don't Give A Fu-ck Boys" ingependeza sana..!