Source07
Senior Member
- Oct 5, 2018
- 196
- 353
...lakin hayo majina mliyoyapendekeza mbona tayari yanatimu na yanatumiwa?
Twiga/Giraffes=Hili jina linatumiwa na timu ya Taifa ya Wanawake..so haliwezi tena kutumiwa na Wanaume..
TANZINITES=Hili jina pia linatumiwa na Timu ya Taifa ya Wanawake tofauti Hili linatumiwa Timu inapowakilisha Taifa (Tanzania Bara)ktk michuano ya CECAFA/...
Timu yetu inaitwa "Taifa Stars" kwasababu ni mjumuiko wa wachezaji kutoka Bara na Visiwani lakin ktk mshindano mfano CECAFA ambapo nchi zote mbili(Tz Bara na Znz)zina wakilishwa na Timu zao hili jina hubadilika na kuitwa NGORONGORO HEREOS!..ikimaanisha Timu ya Taifa ya Tz Bara
Twiga/Giraffes=Hili jina linatumiwa na timu ya Taifa ya Wanawake..so haliwezi tena kutumiwa na Wanaume..
TANZINITES=Hili jina pia linatumiwa na Timu ya Taifa ya Wanawake tofauti Hili linatumiwa Timu inapowakilisha Taifa (Tanzania Bara)ktk michuano ya CECAFA/...
Timu yetu inaitwa "Taifa Stars" kwasababu ni mjumuiko wa wachezaji kutoka Bara na Visiwani lakin ktk mshindano mfano CECAFA ambapo nchi zote mbili(Tz Bara na Znz)zina wakilishwa na Timu zao hili jina hubadilika na kuitwa NGORONGORO HEREOS!..ikimaanisha Timu ya Taifa ya Tz Bara