Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

...lakin hayo majina mliyoyapendekeza mbona tayari yanatimu na yanatumiwa?
Twiga/Giraffes=Hili jina linatumiwa na timu ya Taifa ya Wanawake..so haliwezi tena kutumiwa na Wanaume..
TANZINITES=Hili jina pia linatumiwa na Timu ya Taifa ya Wanawake tofauti Hili linatumiwa Timu inapowakilisha Taifa (Tanzania Bara)ktk michuano ya CECAFA/...
Timu yetu inaitwa "Taifa Stars" kwasababu ni mjumuiko wa wachezaji kutoka Bara na Visiwani lakin ktk mshindano mfano CECAFA ambapo nchi zote mbili(Tz Bara na Znz)zina wakilishwa na Timu zao hili jina hubadilika na kuitwa NGORONGORO HEREOS!..ikimaanisha Timu ya Taifa ya Tz Bara
 
Jina lilitolewa na
Umeeelezea upande hasi (-) je unaweza kuwa na uwezo wa kuona upande wa mafanikio.chanya (+) ya huo mwenge hata kidogo?

Mfano namnukuu mwanzilishi wa wazo la Mwenge Mwalimu Julius K
Nyerere alisema " sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya kilele cha mlima kilimanjaro ili ulete tumaini."...

Je katika wazo / maneno hayo kuna uchawi au ugagula.huo uusemao..? Je unafahamu umuhimu wa bendera zaidi ya kuona kuwa ni kitambaa tu, ? Unajua sabbu ya rangi zinazowekwa katika bendera..?

Turudi katika hoja yangu ya jina la timu yetu ya Taifa ni vizuri tukawa na Jina linaloelezea jambo fulani ama tukio fulani linaloleta maana katika Nchi.

Mathalani walio tangulia wameeleza vema katika hilo.
kocha Paul West Gwivaha baada ya kuulizwa na waandishi "what's the name of the team which these star's called " then answered the Taifa stars
 
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
Spain ..... La Furia Roja.
England. ... Three Lions
Croatia. ..... Vatreni
Belgium. ....... The Red Devils
 
England - The Three Lion

Brazil - Selecao

Hao wengine pia wana majina yao japo sijayakariri

Wote hao wana majina yanayobeba tukio/maliasili/jambo linalotambulisha nchi husika
Belgium= Red devils
 
Mi napendekeza hii timu iitwe Chenga Mbili Kiatu.
 
Taifa stars "the chamilion" ukitaka ujue maana ya jina hilo waulize cap Verde kilichowapata pale Tanzania National Stadium
 
TANZANITE MASAII MORANS (Warriors), Hapa tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Kwanza tuta paisha madini yetu pia tutaenzi moja ya kabila letu kubwa. Kwa kua Kenya pia kuna wa masai neno Tanzanite pia litakua likionesha tunaongelea upande wa Tanzania.Tuta ingiza ile hali ya ujasiri wa morani wa kimasai wa kuwinda kwenye mbuga zenye wanyama wakali na kunywa damu za wanyama. Kabla ya game wachezaji watacheza ile ngoma ya kimasai ya kupandisha mori hii itakua na mvuto wa kibiashara, pia italeta hali ya umoja na kupambana kwa wachezaji. Pia ita amsha hamasa kwa mashabiki kipindi mchezo una endelea mashabiki wana eza pia wakawa wanashangilia kwa kupandisha mori. New Zealand wana ngoma yao inaitwa HAKA huwa wanaicheza kabla ya michezo yao hua inahamsha hali na kuleta mvuto kwa timu zao. Jezi zetu pia zinaweza wekwa nakshi za Tanzanite uzuri nayenyewe ni ya blue.
Ebana nimekubali mkuu
 
TANZANITE MASAII MORANS (Warriors), Hapa tunaua ndege wawili kwa jiwe moja. Kwanza tuta paisha madini yetu pia tutaenzi moja ya kabila letu kubwa. Kwa kua Kenya pia kuna wa masai neno Tanzanite pia litakua likionesha tunaongelea upande wa Tanzania.Tuta ingiza ile hali ya ujasiri wa morani wa kimasai wa kuwinda kwenye mbuga zenye wanyama wakali na kunywa damu za wanyama. Kabla ya game wachezaji watacheza ile ngoma ya kimasai ya kupandisha mori hii itakua na mvuto wa kibiashara, pia italeta hali ya umoja na kupambana kwa wachezaji. Pia ita amsha hamasa kwa mashabiki kipindi mchezo una endelea mashabiki wana eza pia wakawa wanashangilia kwa kupandisha mori. New Zealand wana ngoma yao inaitwa HAKA huwa wanaicheza kabla ya michezo yao hua inahamsha hali na kuleta mvuto kwa timu zao. Jezi zetu pia zinaweza wekwa nakshi za Tanzanite uzuri nayenyewe ni ya blue.
Au Moran's of the KILIMANJARO
 
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
England inaitwa the three Lions
 
Alias ya timu yetu ya taifa ingekuwa "We Don't Give A Fu-ck Boys" ingependeza sana..!
 
Back
Top Bottom