Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

Hii nchi imejengwa kwa misingi ya uchawi, ushirikana, wanga na nguvu za Giza. Kitu kama Mwenge kililetwa na Forojo Ganze a.k.a Master bingwa wa uchawi ili watz wawe mapoyoyo na manyumbu watawalike kirahisi.
Sitaona ajabu kuwa Kuna kigagula mmoja ndiye aliyependekeza jina la Taifa Stars.
Miongoni mwa matokeo ya Mwenge ni kulala kwa huzuni ndio maana miradi mingi na vitu vingi chini ya chama cha Mwenge na serikali havina matokeo chanya
Miaka ya hivi karibuni hii ID imekuwa inaongea mashudu sana!

Miaka ile ya mwanzo haikuwa na uandishi wa namna hii. Sijui ni nini kimekupata.
 
Jina la TAIFA STARS lilipendekezwa mmoja wa Mwalimu/Kocha wa Timu yetu ya Taifa wakati huo. Ikiwa na maana ya nyota wa Taifa.

Sina uhakika hasa ni yupi,kati ya hawa wawili;
1.MAREHEMU Paul West Gwivaha
2. MAREHEMU Joel Bendera.
 
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
Unamaanisha hufahamu kama timu yetu ya Taifa inatumia jina la Tanzania ?
 
Jina la Taifa stars tu ndugu zangu wasukuma na wamakonde hawawezi kulitamka vizuri je tukiongeza likawa giraffe si ndio ajari za kujing'ata ulimi zitazidi usukumani..

Kama vipo waitwe "FARU JOHN"
 
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
Belgium-red devils
 
Mimi ninge pendekeza timu iitwe "Dreamliner" au "Bombardier"
 
Tuitwe The Tanzanites
Ahsante mkuu twaweza kubadirisha historia ya Taifa letu tukiamua.. tweet hilo jina na hoja kwenye account ya Tanfootbal. Na hoja yetu mpaka waelewe.
 
Mkuu neno "stars" labda ndipo hoja yangu ilipojificha kwanini waitwe "stars" ? Stars linabeba nini au linawakilisha nini katika Nchi yetu ambalo twaweza chochea ama utalii au hamasa?
Ashakum si matusi au huenda wanaotoa hayo majina hawaijui vema lugha ya kiingereza kama tunavyochekwa tunapokuwa Nje ya Nchi. Sabbu ya kutokujua kwao maana ya hilo neno "stars"
Wanaamua tu kulipachika.
Hivi kwanini basi timu yetu ya wanawake wasiitwe tu "Twiga" ikiwa na maana the Giraffe bila neno stars ? Au wale wengine wakaitwa "Taifa" ikiwa na maana ya Nation bila neno stars mbele?
Samahani kwa kunakili habari yote. Mimi sijui na naomba unifahamishe stars maana yake nini?
 
Mkuu getrusa

Maana ya neno "Taifa" kani mimbaria ya Michezo na mtazamo wetu kama Watanzania linawakilisha "Umoja/wamoja"...kwamba ni mkusanyiko wa watu ambao tunaunganishwa na mambo flani ya msingi ukiachilia tofauti tulizonazo za kuabila wetu, utamaduni wetu, na mahali (mikoa) yetu tunapotoka!

So mjumuisho wa mchanganyiko huu wa tofauti zetu unapoungwanishwa na udugu wetu kama wamoja kwa kuzika au kufubaza tofauti zetu hizo ndipo tunapolizaa neno Taifa....sasa na kuwa "Nyota wa Taifa" a.k.a Taifa Stars!

Ukitaka kujua uhalisia wa nisemacho jaribu kutembelea nchi jirani zinazotuzunguka kama Malawi, Zambia Kenya na Uganda.

Wao hasa jirani zetu wa kusini Mtanzania wanamuita "Mtaifa"....ukifika kwa mfano katika vitongoji ya Blantaya na Lilongwe hahakuiti Mtanzania bali Mtaifa!

Hii inaconnotate kwamba wenzetu hawa hutuona sisi kama "wamoja na wakitaifa" zaidi kuliko kama watanzania!
Mkuu kwa sasa Nipo Malawi nipo katika Mji wa Mzuzu nikiendelea na safari yangu ng'ambo ya eneo nilipo kuna soko dogo linaitwa "Mataifa" wafanyabiashara wengi hapa ni Watanzania ama wanaoleta bidhaa zao kutoka "Tanzania" nimeiona pia Nchi nyingine nilizobahatika kutembelea.
Kilichoninyima raha ni neno "stars" ambapo labda walio asisi hilo jina wangeita " Nyota wa Taifa " lingeleta raha zaidi kwa kiswahili chetu..
 
Mkuu neno "stars" labda ndipo hoja yangu ilipojificha kwanini waitwe "stars" ? Stars linabeba nini au linawakilisha nini katika Nchi yetu ambalo twaweza chochea ama utalii au hamasa?
Ashakum si matusi au huenda wanaotoa hayo majina hawaijui vema lugha ya kiingereza kama tunavyochekwa tunapokuwa Nje ya Nchi. Sabbu ya kutokujua kwao maana ya hilo neno "stars"
Wanaamua tu kulipachika.
Hivi kwanini basi timu yetu ya wanawake wasiitwe tu "Twiga" ikiwa na maana the Giraffe bila neno stars ? Au wale wengine wakaitwa "Taifa" ikiwa na maana ya Nation bila neno stars mbele?
Twiga Stars, tatizo nyota.
Nyota inayoongelewa ile ya Taifa na ya Twiga ni spiritual stars.
Zodiacal stars signs, sio zile nyota za angani.
 
Hiyo ni nickname wakuu " inapokuwa kwenye mechi za kimataifa .. huwaga inaitwa TANZANIA.. by the way ushauri wako pia sio mbaya .. tunaweza tafuta nickname nyingine mpya ambayo ina akisi kile ambacho kipo nchini kwetu ".. haswa katika sekta ya utalii na mali asili ili tuweze kuitangaza nchi kimataifa kwa wepesi zaidi
 
Hiyo ni nickname wakuu " inapokuwa kwenye mechi za kimataifa .. huwaga inaitwa TANZANIA.. by the way ushauri wako pia sio mbaya .. tunaweza tafuta nickname nyingine mpya ambayo ina akisi kile ambacho kipo nchini kwetu ".. haswa katika sekta ya utalii na mali asili ili tuweze kuitangaza nchi kimataifa kwa wepesi zaidi
 
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
ENGLAND-Three lions
BRAZIL-seleçao
 
Wakuu hiki jina Taifa stars nani aliipa timu yetu yaTaifa? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?
Ninadhani kunapokuwa na mafanikio kwa timu ya Taifa ni fursa pia ya kutangaza alama maalumu ya Taifa ambayo bila shaka inaweza chochea pia utambulisho wetu na utalii wetu.

Mfano Uganda wanajiita the crane.
Bila shaka wakimaanisha ndege adimu wanaopatikana kwa wingi Uganda.

Wengine wanajiita "mamba weusi"
Wengine "Tai wa Jangwani"
Wengine "simba wa theranga"
Hapo jirani nadhani kwa sabbu ya machimbo ya shaba wanajiita "risasi za moto" chipolopolo.
Ama kule kusini wanajiita "Bafana bafana"

Je kwanini timu yetu ya Taifa isiwe na utambulisho maalumu wenye kuleta maana?

Mfano tukaiita timu yetu "the giraffe"..
"Tukiamini kuwa twiga ni mnyama anayekula majani ya juu ya miti."

Na anaeona Mbali zaidi adui yake kabla hajamkaribia. Pia Twiga ni kimbilio kwa wanyama wengi wasio weza kumuona adui yao kwa mbali..

Napendekeza timu yetu ya Taifa ya mpira wa Miguu iitwa "THE GIRAFFE "!
kwema
 
Back
Top Bottom