Nani alikufundisha kunywa pombe

Nani alikufundisha kunywa pombe

Nyavinene

Senior Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
164
Reaction score
174
Kuna msemo usemao kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa anajua mambo yote, maana yake ni kwamba kila kitu tunajifunza kutoka kwa watu wanaotuzunguka.

Kuna watu wamefundishwa kunywa pombe na Marafiki, wazazi, wapenzi wao, na hata wenyewe. Sasa leo twambie wewe ulifundishwa na nani?
 
Nilikua kwenye party nkajikuta tu nimechkua safari tatu zipo mezani...
Baada ya hapo nkaskia raha kweelekweli[emoji23][emoji23]
 
Mkapa aliposema mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe, nikajikuta nimeanza kubwia. RIP Mkapa
 
Mlomo mwaka 2004 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mama yangu nikiwa darasa la 6 alikuwa nafanya biashara ya bar,alikuwa anakunywa na kuniachia nusu ya chupa ya bia.
 
Mi nilijifunza nikiwa kwa Sherehe
Nilifundishwa na mother, énzi hizo miaka ya 2000s kila akitoka kazini lazma aboost kichwa whisky hapo ndo tuaanza kuonjeshwa tuna miksiwa na maji kidogo et tusilewe.

Ila sahv nimepunguza kama sio kuacha kabsa
 
Kuna msemo usemao kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa anajua mambo yote, maana yake ni kwamba kila kitu tunajifunza kutoka kwa watu wanaotuzunguka.

Kuna watu wamefundishwa kunywa pombe na Marafiki, wazazi, wapenzi wao, na hata wenyewe. Sasa leo twambie wewe ulifundishwa na nani?

Unataka ujue ili iweje?
 
Kuna msemo usemao kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa anajua mambo yote, maana yake ni kwamba kila kitu tunajifunza kutoka kwa watu wanaotuzunguka.

Kuna watu wamefundishwa kunywa pombe na Marafiki, wazazi, wapenzi wao, na hata wenyewe. Sasa leo twambie wewe ulifundishwa na nani?
kabila langu
 
Back
Top Bottom