GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sijui ni lini hii Poverty Mentality itaondoka ndani ya Vichwa vya Watanzania. Yaani unakutana na Mtu ana Simu ya Thamani Kubwa sana na ya Kisasa ( tena Boss mahala fulani ) halafu tena unamkuta ana Kasimu ka Shilingi Efu Aobaini au Elfu Thelathini na ukimuuliza kwanini ana hiyo Simu atakujibu kuwa Simu yake Kubwa huwa haikai na Chaji hivyo hiyo Simu ndogo ni Substitute ya Simu Kubwa pale ikiisha na Chaji.
Kama ilivyo kawaida yangu kwa Kupenda Kuchunguza na Kudadisi Mambo / Masuala / Vitu nikalazimika Kuulizia kwa Watanzania walioko Majuu ( Mamtoni Ulaya na Marekani ) na hata kwa Kuwaangalia Wazungu wengi ninaokutana nao hapa nchi ya Ugenini nilipo je, na Wao wana huu Upuuzi nilichokigndua ni kwamba wala hawana na Wao Wanatumia Simu zao kama Chaji zao zinavyosema na kwamba Chaji ikiisha tu wanachofanya ni Kuzima Simu kisha Kuichaji na kuendelea na Mawasiliano yao baadae au wananunua Power Banks ili kuhakikisha Chaji za Simu zao hazipungui lakini siyo kuwa na Simu ya Milioni Tatu halafu unakuwa na Kasimu ka Philips au Nokia ka Shliingi Elfu Arobaini au Elfu Thelathini Tandika au Ilala Boma.
Haya upesi sana Wewe Afisa Ubalozi nchi niliyoko sasa Kesho nisikukute na hako Kasimu Kako Kadogo kwani unaiabisha Tanzania sawa? Afisa Balozi gani unashindwa kununua Power Bank kwa ajili ya hiyo Simu yako ya Thamani na baalala yake unatembea na Simu zote Mbili huku hiyo Simu yako Ndogo Batani yake moja ikiwa imefutika Herufi kiasi kwamba ukiwa una Type inabidi uibahatishe hiyo Herufi?
By the way hata Mimi GENTAMYCINE ninayendika huu Uzi ni Masikini vile vile ila huu Upuuzi kamwe sitokuja Kuufanya. Ok?
Kama ilivyo kawaida yangu kwa Kupenda Kuchunguza na Kudadisi Mambo / Masuala / Vitu nikalazimika Kuulizia kwa Watanzania walioko Majuu ( Mamtoni Ulaya na Marekani ) na hata kwa Kuwaangalia Wazungu wengi ninaokutana nao hapa nchi ya Ugenini nilipo je, na Wao wana huu Upuuzi nilichokigndua ni kwamba wala hawana na Wao Wanatumia Simu zao kama Chaji zao zinavyosema na kwamba Chaji ikiisha tu wanachofanya ni Kuzima Simu kisha Kuichaji na kuendelea na Mawasiliano yao baadae au wananunua Power Banks ili kuhakikisha Chaji za Simu zao hazipungui lakini siyo kuwa na Simu ya Milioni Tatu halafu unakuwa na Kasimu ka Philips au Nokia ka Shliingi Elfu Arobaini au Elfu Thelathini Tandika au Ilala Boma.
Haya upesi sana Wewe Afisa Ubalozi nchi niliyoko sasa Kesho nisikukute na hako Kasimu Kako Kadogo kwani unaiabisha Tanzania sawa? Afisa Balozi gani unashindwa kununua Power Bank kwa ajili ya hiyo Simu yako ya Thamani na baalala yake unatembea na Simu zote Mbili huku hiyo Simu yako Ndogo Batani yake moja ikiwa imefutika Herufi kiasi kwamba ukiwa una Type inabidi uibahatishe hiyo Herufi?
By the way hata Mimi GENTAMYCINE ninayendika huu Uzi ni Masikini vile vile ila huu Upuuzi kamwe sitokuja Kuufanya. Ok?