Walikua wanapiga magitaa tofauti
1.Lokasa ya Mbongo-gitaa la rhythm
2.Dally Kimoko-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhythm
3.Diblo Dibala-gitaa la solo
4.Nene Tchakou-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhytm na base guitar