Mkuu huo usiriazi unaotaka Samata aoneshe ungeulekeza kwenye biashara zako leo hii si ungekuwa level moja na kina Mo Dewji?!
Utapigwa ngumi kali mkuu hujui kua samata ni mdogo wa Francis cheka?Labda ni mtoto wa Bibi Cheka.
Wewe unaufahamu?Nimchukie kwa lipi huyo hajui mpira pamoja na kucheza ligi mbovu
Lakini UEFA yapoEpl hakuna magoli ya kuvizia kupiga vichwa km ubeligiji
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Unawezankuta hata chandimu hukucheza leo ushakuwa kocha. Kama Smatta anachekacheka Ronaldinho alikuwa anafanyaje?Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Chuki na roho mbaya vitakuua! Umekwa km mwanamke mjamzito!Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
eg msuvaMpira hajui media za Tanzania nyingi zinamvimbisha kichwa
Ila uwezo ni mdogo sana anezidiwa na wachezaji wengi wanaocheza ligi ya Tanzania
duuh,yani wivu haujawahi kumuacha mtu salama.Mkuu kina Ronaldinho walikuwa wanatabasamu muda wote uwanjani sembuse Samatta?? Bila shaka we utakuwa in shabiki uchwara wa Yeboyebo wewe.
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa
Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.
Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake
Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza
Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui
Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Ila wewe utakuwa mchokozi tu maana kama wewe ungekuwa bora zaidi ya Samata umesajiliwa timu gani Ulaya? Acha unafiki kaka .Watanzania wengi ni wanafiki. Hamtaki kusikia ukweli
Mkuu ongea kama mfuatiliaji wa mpira,mchango wa Samata team ya Taifa ni mdogo mno almost haupo,utalinganisha fighting spirit ya Samata na Msuva kwenye national team?.fanya comparison utapata jibu.Kuhusu kwenda Afcon ilikuwa lazima twende tu kwa namna yoyote,maana Waganda tayari walishafuzu,hata ningecheza mimi na wewe siku hiyo,goli kipa akawa Santino bila hofu yoyote tungeshinda.Kwan hukusikia team ya Uganda ikituhumiwa na CAF na chama chake cha soka kuwa matokeo yalikuwa planned?.
Sawa ahsante kwa ushauri.Tafuta hela wewe stress za maisha zitakuuwa muda si mrefu .