yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
- Thread starter
- #61
Nimekwambia nataka kuwa tajiri
Hapa tunazungumzia mchezaji mbovu samata anayecheza kwenye ligi mbovu huku anavimbishwa kichwa na media uchwara za Tanzania
Hapa tunazungumzia mchezaji mbovu samata anayecheza kwenye ligi mbovu huku anavimbishwa kichwa na media uchwara za Tanzania
Mkuu huo usiriazi unaotaka Samata aoneshe ungeulekeza kwenye biashara zako leo hii si ungekuwa level moja na kina Mo Dewji?!