Nani alimdanganya Samatta akicheka cheka hovyo uwanjani ndio anapendeza

Nani alimdanganya Samatta akicheka cheka hovyo uwanjani ndio anapendeza

Nimekwambia nataka kuwa tajiri

Hapa tunazungumzia mchezaji mbovu samata anayecheza kwenye ligi mbovu huku anavimbishwa kichwa na media uchwara za Tanzania
Mkuu huo usiriazi unaotaka Samata aoneshe ungeulekeza kwenye biashara zako leo hii si ungekuwa level moja na kina Mo Dewji?!
 
something fiiiiisshhyyyy
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
 
una lako jambo mkuu sio bure
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
 
Kufungwa ni moja ya matokeo.
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
 
Kati ya wachezaji 30 bora Africa yeye ni mmoja wao.
CAF_on_Instagram%3A_%E2%80%9CYour_African_Player_of_the_Year_Nominees_%F0%9F%8C%8D%F0%9F%8F%8...jpeg
 
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Unawezankuta hata chandimu hukucheza leo ushakuwa kocha. Kama Smatta anachekacheka Ronaldinho alikuwa anafanyaje?
 
Bila Shaka mkeo alikwambia kuwa anampendaga sammata, Sasa wewe kwaakili zake fupi umeenda mbali zaidi kwakujua kuwa anampendaga kimapenz kumbe yeye alimaanisha anampenda kwasababu yausakataji wake kabumbu uwanjani
 
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
Chuki na roho mbaya vitakuua! Umekwa km mwanamke mjamzito!
 
Hasira z maisha yako usihamishie kwa wenzio embu pambana na maisha yako achana na kijana wa watu, nyie ndio mnaowangaga kwenye mageto ya watu
 
duuh,yani wivu haujawahi kumuacha mtu salama.Mkuu kina Ronaldinho walikuwa wanatabasamu muda wote uwanjani sembuse Samatta?? Bila shaka we utakuwa in shabiki uchwara wa Yeboyebo wewe.
Huyo mchezaji yupo km MTU asiyejitambua kabisa

Huwa akicheza timu ya Taifa akiguswa kidogo anajiangusha. Muda akiinuka anacheka eti sujui huwa anajiona nani wakati mpira wenyewe anacheza wa kubahatisha huko kwenye ligi mbovu kuliko zote ulaya.

Kina Sadio Mane wanacheza ligi bora duniani ila akiwa timu ya taifa anapambana kama kwenye timu yake

Ila huyu jamaa amebaki kukenua tu uwanjani.angejua watu wanavyomchukia angenuna tu baada ya kukenua maana an a chunkiza

Tatizo media zimevimbisha kichwa ila mpira hajui


Huyu samata angefikia hata robo ya mafanikio ya Victor wanyama wa Tottenham angebadilisha hadi uraia nadhani maana anajiona ni mchezaji maarfu kumbe anajulikana Tanzania tu
 
Watanzania wengi ni wanafiki. Hamtaki kusikia ukweli
Ila wewe utakuwa mchokozi tu maana kama wewe ungekuwa bora zaidi ya Samata umesajiliwa timu gani Ulaya? Acha unafiki kaka .
 
Tafuta hela wewe stress za maisha zitakuuwa muda si mrefu .
Mkuu ongea kama mfuatiliaji wa mpira,mchango wa Samata team ya Taifa ni mdogo mno almost haupo,utalinganisha fighting spirit ya Samata na Msuva kwenye national team?.fanya comparison utapata jibu.Kuhusu kwenda Afcon ilikuwa lazima twende tu kwa namna yoyote,maana Waganda tayari walishafuzu,hata ningecheza mimi na wewe siku hiyo,goli kipa akawa Santino bila hofu yoyote tungeshinda.Kwan hukusikia team ya Uganda ikituhumiwa na CAF na chama chake cha soka kuwa matokeo yalikuwa planned?.
 
Walimwengu bwana! mtoa mada hili nalo linakunyima usingizi!
 
Back
Top Bottom