Nani alimpa u-'SIR' George Kahama?, Tanzania wenye cheo hiki wapo wangapi?

RIP Dr. Judith Kahama, huyu mzee si ndio yeye alifisadi CDA miaka ile? Kama kawa akahamishiwa kwingine.
 
.
.
.
ndege ikaruka mara ya kwanza --- george akaguna...
ndege ikaruka mara ya pili -- george akaguna tena kwa sauti --mmmmnh (ule mguno wa kihaya)
iliporuka mara ya tatu -- nikamsikia george akipiga kelele -- maweeeee!!!!!

(RIP nyerere)

Acha kudanganya watu, hiyo speech JK. Nyerere alikuwa anamtania George Kahama (mtani wake kwa maana Nyerere ni wa Mara na Kahama ni wa Kagera), alikuwa anazungumzia ukabira bado upo nchini, watu wasijidanganye wakasema ukabila umekwisha Tanzania, alisema kukiwa na shida ya kweli kweli watu wanarudi mkwenye ukabila wao! Akamtania George kwa kusema aliwatuma kwenda Zaire (kwa sasa DRC):-
...ndege ikaruka mara ya kwanza, George Kahama akasema 'My God!' (yaani anajifanya ameendelea anajuwa kiingereza tu!)
...ndege ikaruka juu zaidi akasema 'Mungu wangu!'(woga umemuingia akarudi kwenye uswahili!)
...ndege ilipo ruka juuu zaidi akasema 'Maweeeeeh!' (woga umemshika zaidi akarudi kwenye ukabila!)

Nyerere alikuwa ni Mwalimu mzalendo wa kweli achana na hawa wanaowaza kila siku kudandia Fast Jet!
 
Sio kweli, hana wake wawili. Ana mke mmoja na hawala/malaya mmoja. Wakatoliki sheria ya Mungu na ya nchi inasema mke mmoja na mume mmoja. Rekebisha maandishi yako.

Usibishe mkuu.....ni kweli ana wake wawili tena wa tumbo moja......Janet ndiye mdogo....tuwape pole kwa kufiwa na mtoto wao!

 
laun hebu tujadili MAMBO ya maendeleo sio WATU! Huku ni kupoteza muda ambao ukienda HAURUDI!
 
Last edited by a moderator:
Wapi alipo huyu mzee ? Aliwahi kuwa waziri awamu ya kwanza na ya 3 . Na hiyo heshima ya kuwa sir aliipata kwa kufanya nini?
hiyo tiltle ilitokana na utani alikuwa akiitwa hivyo na rafike yake Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Si Andy Chande ndiye pekee aliyepewa hiyo title na malkia
 
hiyo tiltle ilitokana na utani alikuwa akiitwa hivyo na rafike yake Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Si Andy Chande ndiye pekee aliyepewa hiyo title na marakia

Hata huyu Andy Chande ni KBE tu na si sawa kumwita Sir kwa kuwa sio raia wa UK
 
Usibishe mkuu.....ni kweli ana wake wawili tena wa tumbo moja......Janet ndiye mdogo....tuwape pole kwa kufiwa na mtoto wao!

safari, katisha sheria za kikatoliki, na sheria ya ndoa ya mwaka 1971, mkristo anakuwa na mke mmoja. Hivyo hichi kingine sio mke, ni malaya /hawala wake. SIO KWA DEFINITION YA MKE KWA MUJIBU WA CHRISTIAN FAITH/SHERIA YA NDOA YA MWAKA 1971 UNLESS HE PROFESSES PAGANISM/CUSTOMARY MARRIAGE!
 
kama kuna mtu atabisha na ana uhusiano nae akamuulize,wakati yupo CDA aliwahi kusafirisha vitu vyote vya ujenz kuanzia cement hadi madirisha usiku kwa gari na dereva ya CDA,kupeleka shinyanga,alimtesa sana yule dereva! ufisadi wa miaka hiyo!
 
alipata Sir kama jina la matani kutoka kwa Mwl nyerere kwani wakati Nyerere yuko Ulaya Bwana Kahama alikuwa anasomeshwa ulaya na chama cha kahawa kutoka Kagera na alikuwa na uwezo wa kumsaidia Nyerere hela za matamizi. hii wengi wetu tunaijua hata vyuonni kuna watoto wenye uwezo wa fedha kuliko wengin`!
 
Mkuu elmagnifico, ahsante kwa post yako, angalau imekata shauku yangu ya kutaka kufahamu huyu mzee angalau kwa uchache tu.
 
Last edited by a moderator:
Wadau hebu tukumbushane ni kitu garni alifanya George kahama mpaka malkia wa uingereza akamtunuku u sir
 


Mkuu Archbishop Macinkus
Hili neno ni Kimau Lilianza kutumika tangu Enzi za askari wa Kijerumani kumaanisha gwanda lisilo na ukosi na si Ki-Mao.
 
Hivi huyu mzee Sir George bado yupo hai kweli maana last time nilipomuona alikuwa mdhaifu kiaina. hawa ndo wazee walioifaidi Nchi hii kwa muda mrefu.
 

Bora hata Mama Maria Nyerere angalau anajitahidi kuwaita waandishi na kuhusia mawili Matatu ...na Wastaafu wengine Kama Warioba ,na Cleopa
Mzee Kahama Kama waziri wa pekee wa Serikali ya kwanza aliyebakia anatakiwa kuongea mengi Zaidi ...Huo ni UJUMBE wetu kwake .
 
Napenda prof wa kichina apewe huo
u-sir itapendeza sana.
 
nadhani alikuwa KNIGHTED na Queen of England; hiko sio cheo by the way, you get that by doing 'significant' work to help people or if you make a 'notable' impact to the course of humanity; and OF COURSE If YOU are a citizenship of the Commonwealth Country;
 
Napenda kujua mtu mpaka anaitwa SIR awe na vigezo gan?. Halaf mbona sijawah sikia mwanamke akiitwa SIR!??. Karibun tujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…