Nani alimpa u-'SIR' George Kahama?, Tanzania wenye cheo hiki wapo wangapi?

Nani alimpa u-'SIR' George Kahama?, Tanzania wenye cheo hiki wapo wangapi?

Hili tatizo hata mkuu wa nchi analo.


swissme

Teh teh teh,jamaa kajichimbia kwenye kozi ya ung'eng'e halafu anazuga anabana matumizi kwa kutosafiri hovyo,nyie subirini amalize kozi yake halafu muone Kama hamtamsomea angani.
 
wakuu mi namjua sir. George kahama tu
na sijui lini Bibi yetu atatupatia mwingine
ah !! nadra sana
 
sir jk chande , mkuu wa freemason Tanzania , nimepiga book shule yake Shaaban Robert sec school
 
Nikiambiwa nimzungumzie Sir George kwa neno moja, nitasema "fisadi"
 
Mimi nilikuwa najiuliza hivi huu 'Usir' huyu kahama aliupateje wajameni?

Mwengine mtanzania mwenye initial ya Sir ni Juma Nature au Kibra teh teh teh
Labda alipewa na malkia wa siafu
 
Naona story za vijiwe vya kawaha tu "bla bla" Wenye story za Bar leteni maana ndio naziaminigi
 
Back
Top Bottom