Nani alimtoa bikra mke wako?

Hilo janga la Dunia chief
 
Mleta uzi mchokozi kwel hili jiwe limewapata wengi sana ndo maana hoja zao zmejkita kwenye kupinga kwamba kumtoa bikra cyo kigezo cha kupendwa hahahahahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni mtazamo tu wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23] amepiga kwenye mshono.
 
Asee! Umesema ukweli kabisa. Lazima jamii ibadilike, ikiweka mkazo mwanamke kama hana bikra haolewi. Wangetulia kabisaaa!
 
Kwa hiyo alimpiga chin mazima? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Seriously! Dunia ipo kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda(fourth industrial revolution)kwa kutumia AI artificial intelligence,Internet of things IoT,wewe unawaza na kusumbuliwa na K ya mke wako,kutaka kujua pipe ya kwanza kuingia!! Kuna mambo ya msingi ya kuwaza,ili kujenga utajiri wa familia wewe unawaza K!?
Wasichana wanaanza vitendo vya ngono wakiwa shule ya msingi,miaka 10+,anakuja kuolewa akiwa na miakq 20+,wakati wote huo akutunzie tu !kwani anakujua?umeishamchumbia? Unless uwe umemuoa akiwa darasa la sita!
 
Mlifunga ndoa na huyo mwanamke used?
 
Hapo ulipomalizia nakupinga mkuu
 
Ahahaaaaa
 
Kweli mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…