Nani alimtuma Issa Shivji The Professor?

Nani alimtuma Issa Shivji The Professor?

Wakati mwingine unaweza ukaanza kurusha mateke hewani ukifikiri utampata unayetaka kumtandika kumbe mtu mwenyewe hata hayupo. You're missing a point.

Kasome kwanza alichokisema Prof. Shivji ili ukielewe na pia naomba utambue kuwa kila Mtanganyika na Mzanzibari ana maoni kama yalivyo maoni yako.

Kama yeye anatumika na CCM, na wewe utakuwa unatumika na nani kwa sababu hawezi yeye kutumika na wewe usitumike.

Huoni kama mawazo yako ndiyo yanaonekana zaidi kama unatumika.

Kwangu mimi ninatakata wananchi wapewe fursa ya kupiga kura ya maoni kuchagua kama wanataka muungano au waachane nao.

Serikali mbili zimeshindwa kuondoa matatizo kwa sababu hazikuingia kwenye muungano zikiwa na nguzo imara za kisiasa ambazo ni kukubalika kwa wingi na wananachi. Muungano ulikuwa ni makubaliano ya viongozi wakuu wawili.

Serikali tatu ni barabara ya kuua muungano lakini kwa gharama kubwa.

Serikali moja ni dawa ya muungano lakini hakuwezekani kwa siasa na wanasiasa wa Tanzania kwa sababu ya ubinafsi wao.
Mkuu hapo kwenye red ndipo ninapotegemea msomi wa ukweli apasimamie. Huo ndio utakuwa muungano wa kweli nje na hapo utabaki kuwa ni muungano wa "kichina". Msomi wa kweli hawezi tu kuishia kusema huu huwezekani kwa sababu ya ubinafsi wa watawala. ashauri roadmap ya kuua au kuudhibiti huo ubinafsi ili tuweze kuwa na muungano halisi. Hatuhitaji kubembelezana kuunda muungano. Mimi nadhani serikali tatu itatusaidia kujitambua na inaweza kutufundisha practically kwa nini tuwe na serikali moja tu ya muungano. Zanzbar wakipata machungu ya kuwa na serikali yao katika tuvisiwa twao watapata akili na kujua kwa nini wakenya wanatutamani sana tuungane nao, nao watakuwa wa kwanza kututafuta na kutubembeleza watanganyika turudiane.
 
hapo kwenye weusi kunaonesha kuwa kinachokusumbua ni jina Tanganyika. shivji ni muumini wa muungano. watawala kushindwa kutatua kero za muungano siyo kosa la shivji. anaona serikali 3 zitasababisha muungano kuvunjika. kosa lake ni lipi kuamini hivyo? TAFADHALI USIMDHALILISHE SHIVJI KWA KUSEMA AMETUMWA! KUWA NA ADABU. wakumlaumu ni nyerere alieitwa na kennedy na kuombwa aungane na znz kwa kuhofia kusambaa kwa ukomunisti afrika mashariki. znz ilikua na itikadi za kikomunisti. ALIETUMIKA KUIFUNIKA TANGANYIKA NI NYERERE SIYO SHIVJI. acha ujuha!

Na wewe acha lugha za UCHOCHEZI
 
NIliwahi sema hili kipindi kile alianza darasa lake la Katiba ITV.Nilihoji sana huyu jamaa kupewa undisputed position ktk issue za Taifa.Kwa nijuavyo tanzania watu makini si lazima wawe na hizo sifa UDSM.Na wengi wa UDSM ni wa propaganda zaidi ya Taaluma.

Kuna walionitukana sana kama kawa ya watanzania wanaoendeshwa na upepo.
 
Shivji alichambua ile mada kisomi na ndiyo maana watu wamepata nguvu zaidi ya kudai serikali mbili....Minja acha umangi wako hata ziwe serikali 4 chama cha kichaga hakitawali nchi hii.
 
Academic freedom Dar university is dead and buried. Wengi hapo mapandikizi ya ccm with exception of few. Hapa i will single out Dkt Ayub Rioba -astuate, brilliant and non partisan.
 
Shivji angetoa mawazo mbadala wa Serikali mbili, Kwa sababu Serikali mbili ndio imedumu Kwa zaid ya miaka 50 bt imeshindwa kuimarisha muungano, mpk sasa muungano unakaribia kuvunjika, namuheshim sn prof: shivji, ila Kwa jambo hili atakuwa amekwenda tofauti na fikra za watanzania Wengi.
 
Kwa jambo hili pro: shivji cwez kumuelewa, Serikali mbili imeshadumu Kwa zaid ya miaka 50 lkn cha kushangaza ni kwamba kadri cku zinasonga mbele na muungano unazid kwenda mrama, hamuon Km ipo haja ya kutafuta njia mbadala? Km znzbr hawataki muungano why Serikali Kuu inang'ang'ania? Inaonyesha tanganyika inapata maslahi makubwa
 
Zanzibar ikipotea kuna hasara gani?? mbona tanganyika imepotea miaka 50 sasa, kuna hasara gani? Mbona majina ya kibantu zanzibar yamepotea wakachukua ya kiarabu mbona hakuna hasara, majina ya kibantu hata bara yako mbioni kupote kwa kuchukua ya wazungu, kuna hasara gani? Muungano ni Serkali moja tu, au tuikomoane serikali 3. Tunashadadia mabo ya kijingajinga, Serikali Moja tu, ndo tuseme mbele za watu kuwa tumuungana. Kama hawataki tuchukue hoja ya Malecela ya serkali 3 na G55 yake. Na malecela tumpe nafasi ya kuiongoza serikali ya mpito kabla ya uchaguzi mkuu wa Tangaanyika Kasaka Waziri Mkuu wake, Mtikila Makamu Rais.
 
Zanzibar ikipotea kuna hasara gani?? mbona tanganyika imepotea miaka 50 sasa, kuna hasara gani? Mbona majina ya kibantu zanzibar yamepotea wakachukua ya kiarabu mbona hakuna hasara, majina ya kibantu hata bara yako mbioni kupote kwa kuchukua ya wazungu, kuna hasara gani? Muungano ni Serkali moja tu, au tuikomoane serikali 3. Tunashadadia mabo ya kijingajinga, Serikali Moja tu, ndo tuseme mbele za watu kuwa tumuungana.
 
Zanzibar ikipotea kuna hasara gani?? mbona tanganyika imepotea miaka 50 sasa, kuna hasara gani? Mbona majina ya kibantu zanzibar yamepotea wakachukua ya kiarabu mbona hakuna hasara, majina ya kibantu hata bara yako mbioni kupotea kwa kuchukua ya wazungu, kuna hasara gani? Muungano ni Serkali moja tu, au tukomoane serikali 3. Tunashadadia mabo ya kijingajinga, Serikali Moja tu, ndo tuseme mbele za watu kuwa tumeungana.
 
Kama Serkali moja hawataki tuchukue hoja ya Malecela ya serkali 3 na G55 yake. Na malecela tumpe nafasi ya kuiongoza serikali ya mpito kabla ya uchaguzi mkuu wa Tanganyika Kasaka Waziri Mkuu wake, Mtikila Makamu Rais. Ila wasiruhusiwe kuogmbea nafasi yoyote, munyukano uwe kwa watadi wa mambo kina LIssu na wenzake, Nape chali mapema.
 
Wana jf kuitaka Tanganyika kurudi kwenye uhai wake haitaji busara za usomi ulio tukuka kunahitajika busara za kupenda sasili yako. Hivi kwa faida gani Tanganyika isiwepo ila hali Zanzibar ipo? Kwakweli mimi Tanganyika naona ni zaidi ya muungano. Hapo Profesa kapitiwa yatupasa kumsamehe.
 
hapo kwenye weusi kunaonesha kuwa kinachokusumbua ni jina Tanganyika. shivji ni muumini wa muungano. watawala kushindwa kutatua kero za muungano siyo kosa la shivji. anaona serikali 3 zitasababisha muungano kuvunjika. kosa lake ni lipi kuamini hivyo? TAFADHALI USIMDHALILISHE SHIVJI KWA KUSEMA AMETUMWA! KUWA NA ADABU. wakumlaumu ni nyerere alieitwa na kennedy na kuombwa aungane na znz kwa kuhofia kusambaa kwa ukomunisti afrika mashariki. znz ilikua na itikadi za kikomunisti. ALIETUMIKA KUIFUNIKA TANGANYIKA NI NYERERE SIYO SHIVJI. acha ujuha!

Hata kama ni Kennedi wa Marekani yeye alitoa ushauri tu; tuunganeje ni Nyerere na Karume walikubaliana. Kama wananchi wanataka serikali tatu la ajabu ni nini ipitishwe katiba na kama muungano utavunjika maisha bado yataendelea. Ukomunist wa kutishia uhai haupo tena la msingi ni kila nchi kujiamulia mambo yake yenyewe. Yale ya pamoja yatazungumzika tuu wasiwasi wa nini?
 
kama suluhisho la kutatua kero z amuungano ni serikali 3 na ndio zitavunja muungano basi kumbe kuvunja muungano ndio suluhisho.... kwani ni lazima tuwe na muungano kama inaonekana wazi kua hauna faida kwa pande zote husika???? nadhan kujadili muungano bila kua na option ya kuuvunja pia tutakua hatujatatua kero zake... kuuvunja should be among the options!!
 
Zanzibar ikipotea kuna hasara gani?? mbona tanganyika imepotea miaka 50 sasa, kuna hasara gani? Mbona majina ya kibantu zanzibar yamepotea wakachukua ya kiarabu mbona hakuna hasara, majina ya kibantu hata bara yako mbioni kupote kwa kuchukua ya wazungu, kuna hasara gani? Muungano ni Serkali moja tu, au tuikomoane serikali 3. Tunashadadia mabo ya kijingajinga, Serikali Moja tu, ndo tuseme mbele za watu kuwa tumuungana. Kama hawataki tuchukue hoja ya Malecela ya serkali 3 na G55 yake. Na malecela tumpe nafasi ya kuiongoza serikali ya mpito kabla ya uchaguzi mkuu wa Tangaanyika Kasaka Waziri Mkuu wake, Mtikila Makamu Rais.

Ni hasara kubwa kuifuta zanzibr,hasara ya kuwa watumwa ndio hasara kubwa kuliko zote,jiangalie wewe leo jinsi ulivyo mtumwa huna utaifa wako wala asili yako nikikuliza wewe ni raia wa taifa gani cdhani kama utakuja na jawabu sahihi,mimi najinasibu kwa uzanzibr wangu wewe je?
 
Shivji angetoa mawazo mbadala wa Serikali mbili, Kwa sababu Serikali mbili ndio imedumu Kwa zaid ya miaka 50 bt imeshindwa kuimarisha muungano, mpk sasa muungano unakaribia kuvunjika, namuheshim sn prof: shivji, ila Kwa jambo hili atakuwa amekwenda tofauti na fikra za watanzania Wengi.


Hakuna kitu kibaya kama kutumia elimu na karama aliyokupa MUNGU kuwachanganya wale wanaotegemea mwongozo kutoka kwako

Alichofanya Mwalimu Shivji ni kuponda kazi ya tume ...then hakutoa alternative...... badala yake anasema ni juu ya msikilizaji kuform his or her own opinion....kwa watanzania hawa hawa tulionao???!!! ambao wanategemea mwongozo kutoka kwake hasa katika hili

Lakini tujikumbushe kidogo historia....muungano wa Senegal na Gambia haukufanikiwa na leo hii, hizi ni nchi mbili zinazoangalia mustakabali wa wananchi wao kwa taratibu walizojiwekea kila upande.

Sasa swali la kujiuliza.....kwa nini tunaiogopa Serikali ya Tanganyika??!!...bado sijapata jawabu
 
kama suluhisho la kutatua kero z amuungano ni serikali 3 na ndio zitavunja muungano basi kumbe kuvunja muungano ndio suluhisho.... kwani ni lazima tuwe na muungano kama inaonekana wazi kua hauna faida kwa pande zote husika???? nadhan kujadili muungano bila kua na option ya kuuvunja pia tutakua hatujatatua kero zake... kuuvunja should be among the options!!


Mkulu

Hili bandiko lako nimelipenda
 
hapo kwenye weusi kunaonesha kuwa kinachokusumbua ni jina Tanganyika. shivji ni muumini wa muungano. watawala kushindwa kutatua kero za muungano siyo kosa la shivji. anaona serikali 3 zitasababisha muungano kuvunjika. kosa lake ni lipi kuamini hivyo? TAFADHALI USIMDHALILISHE SHIVJI KWA KUSEMA AMETUMWA! KUWA NA ADABU. wakumlaumu ni nyerere alieitwa na kennedy na kuombwa aungane na znz kwa kuhofia kusambaa kwa ukomunisti afrika mashariki. znz ilikua na itikadi za kikomunisti. ALIETUMIKA KUIFUNIKA TANGANYIKA NI NYERERE SIYO SHIVJI. acha ujuha!
Achana na kumlaumu Mwalimu , kama mnauwezo wa kuuvunja muungano vunjeni.
Hata kwa sisi Watanganyika tulio wengi Zanzibar ya sasa ni KERO ya muungano.
 
Back
Top Bottom