Nani alimtuma Issa Shivji The Professor?

Nani alimtuma Issa Shivji The Professor?

Usijali mkuu kwani hata wafanye nini, hawana njia nyingine zaidi ya kuondoka.Naomba utafute mwenye mjadala wa udasa jana uliokuwa ukirushwa na ITV ili ujue ni kwa jinsi gani hata wasomi werevu walivyoichoka ccm na serikali yake.
Nilimsikiliza kwenye mdahalo wake wakuaga uongozi wa kigoda cha Mwalimu Nyerere,imesoma ile hotuba yake mara kadhaa na kugundua kuwa sio bure Mwanataaluma huyu alitumwa na akatumika.

Kwa msomi kuwa mnafki haipendezi;Profesa huyu anaujua ukweli wa hali halisi na mazingira ya Muungano wetu kwa sasa anajua ni jinsi gani watanganyika wamedhulumiwa serikali yao kwa miaka mingi,anajua maoni yaliyokusanywa na Tume ya Warioba ni maoni ya wananchi na sio maneno ya Warioba na tume yake ,anajua ni jinsi gani Matatizo ya Muungano yasivyoisha na hayawezi kuisha kweli leo anasema Serikali mbili ndio suluhisho??Baada ya kushindwa kutatua matatizo haya kwa miaka zaidi ya 40 msomi alietukuka anasema serikali mbili ndio mwarobaini??

Inanishangaza sana na leo nimeanza na hili la serikali tatu kwsho nitakuja na jambo lingine la ajabu kabisa ambalo waliomtuma Shivji wamemuambia awadanganye watanzania pia


Acheni kuitumikia CCM imeelemewa na inazama sasa

"Problems canot be solved with the same level of thinking that created them""hii ni principle sio Siasa we need someone else to solve our problems and in this case and time we have CHADEMA ndio mwarobaini sio Shivji na siasa za uvungungi dont fight from dark tangaza wewe ni mwanachama wa CCM na unafanya kazi zao kwa wasomi.
 
Achana na kumlaumu Mwalimu , kama mnauwezo wa kuuvunja muungano vunjeni.
Hata kwa sisi Watanganyika tulio wengi Zanzibar ya sasa ni KERO ya muungano.

acha ujuha dogo. muungano uwe mzuri au mbaya ukweli ni kwamba alietekeleza matakwa ya kennedy wa marekani ili tuungane, ni mwl nyerere. mi nazungumzia chanzo cha muungano basi
 
acha ujuha dogo. muungano uwe mzuri au mbaya ukweli ni kwamba alietekeleza matakwa ya kennedy wa marekani ili tuungane, ni mwl nyerere. mi nazungumzia chanzo cha muungano basi
Ukweli na kero za mwaka 1964, najua wewe huwezi kuujua.
Ukweli na kero za leo 2013 ni kwamba Zanzibar ni KERO ya muungano.
 
Pole sana shivji, komaa ivoivo ili tonge yako isipotee but uamini kwamba kwenye maisha mabadiliko ni lazima so Tz kupata mabadiliko ni kitu hakipingiki kupitia rasimu hii
 
Mkuu George, pole sana!. Nimebahatika kuwa mwanafunzi wa Prof. Shivji pale UDSM, alitufundisha somo la constitutional law ambalo nililifumua A+ na toka wakati huo mpaka kesho, amekuwa role modal wangu!. Kwa waliopita UD enzi hizo, wanaelewa ukipata A+ ya Shivji kulimaanisha nini!. Kulimaanisha ili uweze kumwelewa Shivji vizuri, kunahitaji uwe na level fulani ya uelewa!, vinginevyo utaishia to miss the point na ndicho kilichokukuta Mkuu George!. Pole sana!.

Ushauri wa bure kwako, unapokutana na mawazo ya hawa ma intellectuals waliotukuka, jaribu kuwasoma kwa kituo huku ukitafakari the motive behind hayo mawazo yao, ukijiridhisha umewaelewa vizuri ndipo unaibuka na critique iliyokwenda shule yenye kuweza kupangua hoja kwa hoja na sio kukurupuka kama ulivyokurupuka as if hujaenda shule!.

Kati ya watu ambalo kamwe hawawezi kutumiwa, miongoni mwao ni Prof. Shivji. Mabingwa wa Sherman ya Katiba pale Mlimani wanajulikana!, laiti ungelijua ni kwa nini kwenye Tume ya Warioba, wamewachukua Prof. Palamagamba Kabudi na Dr. Sengodo Mvungi na kumwacha Prof. Shivji, usingelithubutu kuuleta huu utumbo wa eti anatumiwa!.

All and all, kuwa na uelewa duni au hafifu sio kosa!, hata kina Socrates na Plato mwanzoni hawakueleweka na watu wa kawaida, but with time and patience hatimaye watu waliwaelewa!, vivyo hivyo ninaimani, na wewe kwa kuendelea kuwasoma ma gt hata wa humu jf, uelewa wako utaongezeka, utamwelewa Prof. Shivji na wewe kujikuta unashuka na nondo na sio huu utumbo uliotumwagia humu!.
Pole!.
Pasco


Huo usomi wako hapa sijauona...
zaidi ya matusi na kejeli kwa mleta uzi....
hakuna kitu cha hatari dunia kama kujikweza...sote tunatumia majina bandia humu..hatufahamiani ....kama sote tungesema vyuo tulivyosoma na malezi tuliyopitia...labda ungekuwa na mtazamo tofauti.....
tatizo unasahau kuwa Mwalimu Shivji ni binadamu kama wengine....
ajabu eti unaapa kabisa....
kazi kwelikweli...
 
Huo usomi wako hapa sijauona...
zaidi ya matusi na kejeli kwa mleta uzi....
hakuna kitu cha hatari dunia kama kujikweza...sote tunatumia majina bandia humu..hatufahamiani ....kama sote tungesema vyuo tulivyosoma na malezi tuliyopitia...labda ungekuwa na mtazamo tofauti.....
tatizo unasahau kuwa Mwalimu Shivji ni binadamu kama wengine....
ajabu eti unaapa kabisa....
kazi kwelikweli...
Kwa watu tunaomfahamu Shivji, kusema katumwa ni sawa na kumtukana!. Issue sio usomi bali uelewa!. unaweza kuwa msomi wa Ph.D and yet ukawa na uelewa duni!, na kuna mtu hajasoma hata darasa moja na akawa na uelewa wa kiwango cha kutosha kumwelewa Shivji!. Hapa sizungumzii vidato wala intellects, nazungumzia I.Q!.
 
Hakuna msomi aliye na maarifa mengi kuliko UZOEFU.PROF SHIVJVI, pamoja na kuwa msomi wa kiwango hicho lakini pia ana uzoefu wa siasa za TANZANIA kuliko wachangiaji wa mada hii. Amini usiamini serikali tatu siyo suluhu ya matatizo ya MUUNGANO.Kwa hakika kila muungano huwa na matatizo yake,mengine huwa ni ya kupita tu na mengine huwa ni ya kudumu kama ilivyo jamii yenyewe. hakuna jamii isiyo na changamoto zake.wanao dhani serikali tatu ndio muarobaini wa changomoto za muungani wamepata wapi uzoefu huo? hakuna equation ambayo tumekokotoa ikatupa uhakika huo! kwangu mimi kama isingekuwa tamaa uchwara za wanasiasa njia bora ni kuwa na MUUNGANO WA SERIKALI MOJA.NO LESS NO MORE. Wanasiasa wanasema wanaona zanzibar watapoteza IDENTITY YA TAIFA LAO! Kweli? mbona wamepoteza identity za jamii zao na kurithi majina ya kiarabu ilihali wao ni wabantu!


Wewe mwehu kweli, ubantu gani uliopotezwa?? shida yako ubantu au uarabu?? Watanganyika wetu hili la zanzibar na uwarabu linawauma rohoni mwao sana, kuwa mweledi changia mada wacha upotoshaji.
 
Hii ni nchi yetu na hatma yake ii mikononi mwetu,kama wengi tunasema hatutaki muungano,au tunataka serikali tatu Shivji ni nani hata asimamishe au ashauri au apotoshe lengo letuuu??

Maoni yaliyokusanywa nchi nzima ndiyo yaliyotoa Rasimu sasa anaepingana na maoni yetu yeye ni nani??

Na kama hajatumwa mbona liko kundi linalomifu na kusimamia msimamo wake nani asiyejua wanaopenda serikali mbili ni wale waliotufikisha hapa walioshindwa kutatua kero za muungano kwa miaka hamsini.

Ni DHAMBI kusema uongo na pia ni UHAINI kupotosha umma ,haihitaji elimu kubwa kuona hali halisi na kusoma nyakati zilizopo kila mtu anajua matatizo ya Muungano na Kero zake

Naamini leo tukipiga kura kati ya wanaotaka na wasiotaka muungano SHIVJI angeshangaa zaidi kwani watanzania zaidi ya asilimia 80 hawataki wala kuusikia Muungano.

Changieni kwa busara usijiache uchi hapa kuonyesha ushafu na uozo wa akili zako kwa kutoa maneno ya kifedhuli na ushabiki wa majitaka
 
Nilimsikiliza kwenye mdahalo wake wakuaga uongozi wa kigoda cha Mwalimu Nyerere,imesoma ile hotuba yake mara kadhaa na kugundua kuwa sio bure Mwanataaluma huyu alitumwa na akatumika.

Kwa msomi kuwa mnafki haipendezi;Profesa huyu anaujua ukweli wa hali halisi na mazingira ya Muungano wetu kwa sasa anajua ni jinsi gani watanganyika wamedhulumiwa serikali yao kwa miaka mingi,anajua maoni yaliyokusanywa na Tume ya Warioba ni maoni ya wananchi na sio maneno ya Warioba na tume yake ,anajua ni jinsi gani Matatizo ya Muungano yasivyoisha na hayawezi kuisha kweli leo anasema Serikali mbili ndio suluhisho??Baada ya kushindwa kutatua matatizo haya kwa miaka zaidi ya 40 msomi alietukuka anasema serikali mbili ndio mwarobaini??

Inanishangaza sana na leo nimeanza na hili la serikali tatu kwsho nitakuja na jambo lingine la ajabu kabisa ambalo waliomtuma Shivji wamemuambia awadanganye watanzania pia

Acheni kuitumikia CCM imeelemewa na inazama sasa

"Problems canot be solved with the same level of thinking that created them""hii ni principle sio Siasa we need someone else to solve our problems and in this case and time we have CHADEMA ndio mwarobaini sio Shivji na siasa za uvungungi dont fight from dark tangaza wewe ni mwanachama wa CCM na unafanya kazi zao kwa wasomi.
Mkuu George, George J Minja,
pole sana!. Nimebahatika kuwa mwanafunzi wa Prof. Shivji pale UDSM, alitufundisha somo la constitutional law ambalo nililifumua A na toka wakati huo mpaka kesho, amekuwa role modal wangu!. Kwa waliopita UD enzi hizo, wanaelewa ukipata A+ ya Shivji kulimaanisha nini!. Kulimaanisha ili uweze kumwelewa Shivji vizuri, kunahitaji uwe na level fulani ya uelewa!, vinginevyo utaishia to miss the point na ndicho kilichokukuta Mkuu George!. Pole sana!.

Ushauri wa bure kwako, unapokutana na mawazo ya hawa ma intellectuals waliotukuka, jaribu kuwasoma kwa kituo huku ukitafakari the motive behind hayo mawazo yao, ukijiridhisha umewaelewa vizuri ndipo unaibuka na critique iliyokwenda shule yenye kuweza kupangua hoja kwa hoja na sio kukurupuka kama ulivyokurupuka as if hujaenda shule!.

Kati ya watu ambalo kamwe hawawezi kutumiwa, miongoni mwao ni Prof. Shivji. Mabingwa wa Sherman ya Katiba pale Mlimani wanajulikana!, laiti ungelijua ni kwa nini kwenye Tume ya Warioba, wamewachukua Prof. Palamagamba Kabudi na Dr. Sengodo Mvungi na kumwacha Prof. Shivji, usingelithubutu kuuleta huu utumbo wa eti anatumiwa!.

All and all, kuwa na uelewa duni au hafifu sio kosa!, hata kina Socrates na Plato mwanzoni hawakueleweka na watu wa kawaida, but with time and patience hatimaye watu waliwaelewa!, vivyo hivyo ninaimani, na wewe kwa kuendelea kuwasoma ma gt hata wa humu jf, uelewa wako utaongezeka, utamwelewa Prof. Shivji na wewe kujikuta unashuka na nondo na sio huu utumbo uliotumwagia humu!.
Pole!.
Pasco
 
Back
Top Bottom