Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Falsafa ngumu sanaMathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
umejaribu lakini bado hujakamata vizuri alilenga kufundisha nnUkisoma Math:9,16,17,Hyo Kiraka Cha nguo,viriba vikuukuu ni mifano ihusuyo udhaifu katika mambo ya dini ya kiyahudi mintarafu azimio la wokovu.
Na Nguo mpya na divai mpya ni mifano wa Hali mpya ya ufalme wa Mungu. Hali mpya ya ufalme wa Mungu haiwezi kutegemea mambo hafifu ya mpango wa Kale Kwa kuwa ujio wa Yesu amefanya yote upya katika ukamilifu (Math 5:17).
Ikiwa nimekosea turekebishane ili tupate kujifunza sote🙏🏿
bado sijapata mtu wa kuelezea vizuri mithali hiyo.Ukimapata Yesu unafanywa kuwa mpya as whole.yaani. lazima ubadilishwe kwa sababu Yesu ni mambo yote kati ya yote.
Divai mpya haiwezi kukaa kwenye kiriba cha zamani.Ukimpata Yesu na Roho mtakatifu kweli, Utake usitake lazima ugeuzwe tuuu.Yaani automatically unakuwa wa tofauti
Chukulia Mwanamke, akipata mimba mara nyingi hali yake inabadilika.Yaani kuna vitu alikuwa napendelea kula,utashangaa sasa vitu hivyo hivyo hataki hata kisikia harufu yake.Ndiyo hivyo hivyo ukimpata Yesu kuna vitu utaviacha kabisa tena utavichukia.utakuwa mwingine kabisa.
Nadhani unamkumba Sauli,baadaye Paulo.
Ukimkuta mlevi anakwambia ameokoka halafu bado analewa ujue hapo kuna uwalakini
Nimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
Torati ni kiraka neema ni vazi mpya ukichanganya torati na neema hutoboi torati ni kivuli na neema ni halisi amua leo kuwa baridi au moto usiwe vuguvuguMathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
hapana hakufundisha hicho.Torati ni kiraka neema ni vazi mpya ukichanganya torati na neema hutoboi torati ni kivuli na neema ni halisi amua leo kuwa baridi au moto usiwe vuguvugu
alinena kwa habari ya agano la kale na agano jipya.. aliongeaa kwa old covenant na new covenant ( agano la damu yake )Mathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
Hiyo maana yake, kuweni Waislam.Mathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
Hiyo maana yake, kuweni Waislam.
Hiyo maana yake, kuweni Waislam.
maana ake huwez kutoa ktu chenye thamani kubwa kwenda kukamilisha sehem ndogo ya ktu kscho na thaman hata kdg, sbb mkamilisho huo utakifanya kitu kisicho thaman kupotea kabisa au mazma ndo mana anasema kpande cha nguo mpya ukikifanya kilaka kwnye nguo kuukuu nguo hyo itatatuka zaidi, yan kilaka kitaikimbiza nguoMathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
Una nguo mpya na ya zamani. Ya zamani ikapata tundu. Je utaliziba kwa kukata kipande cha nguo mpya si utakuwa unaiharibu, tundu lile litazidi kuwa kubwa kadiri unavyoitumia.Mathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
badomaana ake huwez kutoa ktu chenye thamani kubwa kwenda kukamilisha sehem ndogo ya ktu kscho na thaman hata kdg, sbb mkamilisho huo utakifanya kitu kisicho thaman kupotea kabisa au mazma ndo mana anasema kpande cha nguo mpya ukikifanya kilaka kwnye nguo kuukuu nguo hyo itatatuka zaidi, yan kilaka kitaikimbiza nguo
badoUna nguo mpya na ya zamani. Ya zamani ikapata tundu. Je utaliziba kwa kukata kipande cha nguo mpya si utakuwa unaiharibu, tundu lile litazidi kuwa kubwa kadiri unavyoitumia.
Unapoongelea nguo inaleta mantiki, ila ufananisho wa uwepo wake kati ya wafuasi wake, ni ngumu kuleta mantiki.