Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,696
- 15,390
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umenichekesha balaa, JF is never boringHello Abrianna? Hope you are doing fine. Jana nilikuota kuwa nimekuvalisha pete rafiki yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umenichekesha balaa, JF is never boringHello Abrianna? Hope you are doing fine. Jana nilikuota kuwa nimekuvalisha pete rafiki yangu.
Huo ndiyo ukweli. Surely, I was so shocked but at the end of day I concurred with what I dreamt.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umenichekesha balaa, JF is never boring
25Mna umri gani kwani mkuu? Samahani lakini
It happens and am not loughing at all, its just that i did not expect it.Huo ndiyo ukweli. Surely, I was so shocked but at the end of day I concurred with what I dreamt.
Siamin sanaa kuvunja mahusiano kwa kuanzisha uadui,hii ilitokea tu accidentally cz nlikuwa desperate..kama kuna la kushauri unaruhusiwa pia mkuuAkikujibu ni-tag
We ni mwanaume ukiamua kusonga mbele songa tu usiyumbishwe na vitu vidogo kama hivyoSiamin sanaa kuvunja mahusiano kwa kuanzisha uadui,hii ilitokea tu accidentally cz nlikuwa desperate..kama kuna la kushauri unaruhusiwa pia mkuu
Pamoja mkuu,ila c kwamba nataka nimrudie,ila napenda niwe na amani tu hayo mengine cjui kurudiana haitokaa itokee cz kama mazi kakir mwenyew kuwa amecheat kuna haja gan ya kuendelea na mtu kama huyo?We ni mwanaume ukiamua kusonga mbele songa tu usiyumbishwe na vitu vidogo kama hivyo
Sawa mkuuPamoja mkuu,ila c kwamba nataka nimrudie,ila napenda niwe na amani tu hayo mengine cjui kurudiana haitokaa itokee cz kama mazi kakir mwenyew kuwa amecheat kuna haja gan ya kuendelea na mtu kama huyo?
Nishajiondsha mkuu,kinachoniumiza kichwa ni maneno makali niliyomtolea ambayo kwel yalikuwa too worseMambo ya kulinda amani waachie MONUSCO na AMISON.
Bado huja-move on!
Hilo halipo cz ikifikia mpk dem kakuambia amecheat cdhan kama kosa hilo linaweza kutuweka pamoja tenaaNyie bado mnapendana
Thank you so much for your clarification...Abrianna.It happens and am not loughing at all, its just that i did not expect it.
By the way, do you know what does it mean? Dreaming of someone you never met means you feel lonely and you didn’t found a person to love so your subconscious creates this someone in your dreams.
Because you have desires, you will create someone perfect in your dreams and that helps your brain release endorfines and not get depressed of being lonely or not feeling attractive enough.
KaribuThank you so much for your clarification...Abrianna.
Frankly speaking, what you have said is really happening to me.
Kwa ushauri wako huu nimejikuta moyo wangu umekuwa na amani ghafla na furaha ya kupindukia.
Ahsante sana kwa kuwa daktari wa moyo wangu...Abrianna.
Japo anaweza kukuliza huyo pamoja na ndevu za kuungaunga.Nina tutoto wa Shem wangu tumemaliza Form Six hapa home.
Sasa najaribu kuwaangalia nipate picha tutoto umri huu tunajigambaje tunasimamia shoo sipati picha kabisa
Tundevu twenyewe ni twa kuunga Unga. Aisee[emoji22][emoji22]
Mambo ya mapenzi mapenzi,unayapa nafasi kwenye maisha yako kama kitu cha maana sana,mwisho wa siku usipoangalia tutasikia umekunywa sumu...
[/QUOmkuu,usiujiMambo ya mapenzi mapenzi,unayapa nafasi kwenye maisha yako kama kitu cha maana sana,mwisho wa siku usipoangalia tutasikia umekunywa sumu...
[/QUOTEAaah!inategemea na kosa mkuu,yapo ambayo mtasolve na kuendelea na maisha,ilq mm kwa issue ya usaliti wala siwez kurud nyumaSwala la kuachana sijui kwanini wengine huwa mnalichukilia jepesi! Wengine hatujui kuachana...Yani nikuache halafu niumie na hisia zangu walahi siwezi bora nikurudie tuumane tu🤣🤣
C kwamba nmeshndwa bt kuna maneno makali nlimchana pnd nikiwa desperate yananifanya nakuwa na guilty kiainaWhy do you care?
Wote mnapenda Drama!!! mtu niachane nae bado mara sijui amtume mwenyekiti anifate turudiane mara mimtongoze mwenyekiti, Yani ni bado naucheza mchezo wake nazunguka kwenye himaya yake...Nyie wenzetu mnawezaje [emoji28][emoji28][emoji28]
Unajua kumove on bro? Yani unafunga vioo vyote kama kanisa la sabato.
Kwa hyo ww unaamin katik uadui pale mnapoachana?sion kama ni health kiubinadamuAmani ya nn sasa katika kuachana