Nani alishatokewa na hii situation?

Nani alishatokewa na hii situation?

Huo ndiyo ukweli. Surely, I was so shocked but at the end of day I concurred with what I dreamt.
It happens and am not loughing at all, its just that i did not expect it.

By the way, do you know what does it mean? Dreaming of someone you never met means you feel lonely and you didn’t found a person to love so your subconscious creates this someone in your dreams.

Because you have desires, you will create someone perfect in your dreams and that helps your brain release endorfines and not get depressed of being lonely or not feeling attractive enough.
 
Siamin sanaa kuvunja mahusiano kwa kuanzisha uadui,hii ilitokea tu accidentally cz nlikuwa desperate..kama kuna la kushauri unaruhusiwa pia mkuu
We ni mwanaume ukiamua kusonga mbele songa tu usiyumbishwe na vitu vidogo kama hivyo
 
We ni mwanaume ukiamua kusonga mbele songa tu usiyumbishwe na vitu vidogo kama hivyo
Pamoja mkuu,ila c kwamba nataka nimrudie,ila napenda niwe na amani tu hayo mengine cjui kurudiana haitokaa itokee cz kama mazi kakir mwenyew kuwa amecheat kuna haja gan ya kuendelea na mtu kama huyo?
 
Pamoja mkuu,ila c kwamba nataka nimrudie,ila napenda niwe na amani tu hayo mengine cjui kurudiana haitokaa itokee cz kama mazi kakir mwenyew kuwa amecheat kuna haja gan ya kuendelea na mtu kama huyo?
Sawa mkuu
 
It happens and am not loughing at all, its just that i did not expect it.

By the way, do you know what does it mean? Dreaming of someone you never met means you feel lonely and you didn’t found a person to love so your subconscious creates this someone in your dreams.

Because you have desires, you will create someone perfect in your dreams and that helps your brain release endorfines and not get depressed of being lonely or not feeling attractive enough.
Thank you so much for your clarification...Abrianna.

Frankly speaking, what you have said is really happening to me.

Kwa ushauri wako huu nimejikuta moyo wangu umekuwa na amani ghafla na furaha ya kupindukia.

Ahsante sana kwa kuwa daktari wa moyo wangu...Abrianna.
 
Nina tutoto wa Shem wangu tumemaliza Form Six hapa home.
Sasa najaribu kuwaangalia nipate picha tutoto umri huu tunajigambaje tunasimamia shoo sipati picha kabisa

Tundevu twenyewe ni twa kuunga Unga. Aisee😢😢
 
Thank you so much for your clarification...Abrianna.

Frankly speaking, what you have said is really happening to me.

Kwa ushauri wako huu nimejikuta moyo wangu umekuwa na amani ghafla na furaha ya kupindukia.

Ahsante sana kwa kuwa daktari wa moyo wangu...Abrianna.
Karibu
 
Nina tutoto wa Shem wangu tumemaliza Form Six hapa home.
Sasa najaribu kuwaangalia nipate picha tutoto umri huu tunajigambaje tunasimamia shoo sipati picha kabisa

Tundevu twenyewe ni twa kuunga Unga. Aisee[emoji22][emoji22]
Japo anaweza kukuliza huyo pamoja na ndevu za kuungaunga.
 
Mambo ya mapenzi mapenzi,unayapa nafasi kwenye maisha yako kama kitu cha maana sana,mwisho wa siku usipoangalia tutasikia umekunywa sumu...
[/QUOmkuu,usiuji
Mambo ya mapenzi mapenzi,unayapa nafasi kwenye maisha yako kama kitu cha maana sana,mwisho wa siku usipoangalia tutasikia umekunywa sumu...
[/QUOTE
Swala la kuachana sijui kwanini wengine huwa mnalichukilia jepesi! Wengine hatujui kuachana...Yani nikuache halafu niumie na hisia zangu walahi siwezi bora nikurudie tuumane tu🤣🤣
Aaah!inategemea na kosa mkuu,yapo ambayo mtasolve na kuendelea na maisha,ilq mm kwa issue ya usaliti wala siwez kurud nyuma
 
Why do you care?
Wote mnapenda Drama!!! mtu niachane nae bado mara sijui amtume mwenyekiti anifate turudiane mara mimtongoze mwenyekiti, Yani ni bado naucheza mchezo wake nazunguka kwenye himaya yake...Nyie wenzetu mnawezaje [emoji28][emoji28][emoji28]
Unajua kumove on bro? Yani unafunga vioo vyote kama kanisa la sabato.
C kwamba nmeshndwa bt kuna maneno makali nlimchana pnd nikiwa desperate yananifanya nakuwa na guilty kiaina
 
Back
Top Bottom