Nani alishatokewa na hii situation?

Nani alishatokewa na hii situation?

Nina tutoto wa Shem wangu tumemaliza Form Six hapa home.
Sasa najaribu kuwaangalia nipate picha tutoto umri huu tunajigambaje tunasimamia shoo sipati picha kabisa

Tundevu twenyewe ni twa kuunga Unga. Aisee[emoji22][emoji22]
Umeandika utopolo
Nyie ndiyo mnatuharibia kiswahili chetu

Acha ujinga wewe andika lugha kwa ufasaha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom