Nani alishatokewa na hii situation?

Li
Nimeishia hapa kusoma...
Maliziq mkuu,ujumbe unawezq kuupata humo katikat na kuja na ushaur pia
Unaanzaje kuomba msamaha kwa malaya, muombe Mungu akusamehe siyo hiyo nguchiro, demu anakucheat bado tena unaenda kumuomba msamaha, ndo maana ulichezea block aliona unataka kuanza kujibebisha tu, be a man sikunyingine.
 
UKIWA MKUBWA KIAKILI NA UMRI UTÀACHA, BADO HUJUI UNACHOTAKA
 
Mimi na wewe it's over ni promise utakuwa sawa
 
Shida ya mtoto wa kiume kupenda kuangalia tamthilia za kifilipino pamoja na movie za kihindi, yaani hapo hapo kwenye kuomba msamaha unatamani ungemuimbia na songi moja matata sana la amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…