Nani aliwadanganya Watanzani kuwa nyimbo laini kama za Celine Dion na Shania Twain zinaitwa blues?

Nani aliwadanganya Watanzani kuwa nyimbo laini kama za Celine Dion na Shania Twain zinaitwa blues?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Imezoeleka kwa watanzania kuita nyimbo laini kama za wasanii hapo juu blues. Lakini ukweli ni kuwa blues ni nyimbo za aina tofauti kabisa na wala siyo laini.

Na hata ukitafuta huwezi kuta wanasema Celine Dion anaimba blues. Blues ni nyimbo za kelele na ndiyo zilizaa Rock n' Roll. Ni nyimbo za kelele, kushout na magitaa kulia sana. Sasa ni nani alituingiza chaka kuwa blues ni nyimbo laini?

Blues yangu pendwa.
 
Hiyo
Imezoeleka kwa watanzania kuita nyimbo laini kama za wasanii hapo juu blues. Lakini ukweli ni kuwa blues ni nyimbo za aina tofauti kabisa na wala siyo laini. Na hata ukitafuta huwezi kuta wanasema Celine Dion anaimba blues. Blues ni nyimbo za kelele na ndiyo zilizaa Rock n' Roll. Ni nyimbo za kelele, kushout na magitaa kulia sana. Sasa ni nani alituingiza chaka kuwa blues ni nyimbo laini?
Blues yangu pendwa.

Inasadia vipi maendeleo ya nchi?
 
Na nyimbo za wacongo zinaitwa bolingo
 
Nasikia wamekufa 19,una lipi la kusema mkuu,maana suala la safari hatuna pa kukimbilia aisee
 
Nasikia wamekufa 19,una lipi la kusema mkuu,maana suala la safari hatuna pa kukimbilia aisee
Nimesikitika sana. Sipati picha mateso yao kabla ya kifo. Binafsi nasema waokoaji wamejitahidi, hatutegemei kuwa na uokoaji kama dunia ya kwanza.
 
Na hili suala kwamba hizo nyimbo zinatakiwa zipigwe wakati wa kula kwenye sherehe, sijui ni nani alilieneza.
 
Imezoeleka kwa watanzania kuita nyimbo laini kama za wasanii hapo juu blues. Lakini ukweli ni kuwa blues ni nyimbo za aina tofauti kabisa na wala siyo laini.

Na hata ukitafuta huwezi kuta wanasema Celine Dion anaimba blues. Blues ni nyimbo za kelele na ndiyo zilizaa Rock n' Roll. Ni nyimbo za kelele, kushout na magitaa kulia sana. Sasa ni nani alituingiza chaka kuwa blues ni nyimbo laini?

Blues yangu pendwa.
Ulikua unajidanganya mwenyewe na circle yako, wengine tunalitambua hilo siku zote.

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Sawa Hili Nalo Tutakwenda Kulitazama Na Watu Wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fanya jaribio la kula huku ukisindikizwa na Singeli uone kama chakula kitapanda!![emoji23][emoji23]
 
Kama tuliambiwa pluto ni sayari baadae tukaambiwa sio
 
Back
Top Bottom