Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Mzee wangu alisha wai onja hii joto ya jiwe alinisimulia mikasa ya huko ndani ni balaa! Alikaa mwaka mmoja lakini ana kuambia huo mwaka kwake ulikua ni kama maisha yake yoote[emoji23][emoji23]Ni kumuomba Mungu tu mkuu maisha Kule hayana utu
[emoji1787]Kuchukua sheria mkononi ruksa ushindwe mwenyewe tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uyo aisee Ni hatari Sio binaadamuMzee wangu alisha wai onja hii joto ya jiwe alinisimulia mikasa ya huko ndani ni balaa! Alikaa mwaka mmoja lakini ana kuambia huo mwaka kwake ulikua ni kama maisha yake yoote...
Simulia ulikaa Gereza gani mkuuNilishashuhhdja dogo anafirwa hivi hivi
Kwa mantiki hio hata mtaani watu wanafirana je wewe uliwai shiriki....so muelewe hoja anayozungumziaKitendo chakutaja usiri huo tayari umekubaliana kwamba kule wanafirana
Ngoja wakulete jela siku moja, halafu uje na zile swaga zako za kutusifia sisi askari jela eti ni handsome! Ukituona tu mwili unasisimka!!Kumekuchaaaaaaa!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]