Nani aliwadanganya watu jela kuna mambo ya kubakana?

Nani aliwadanganya watu jela kuna mambo ya kubakana?

Kubakwa labda utake mwenyewe, tena usionwe na manyampara au wafungwa na mahabusu. Ila kuna manyampara yana tabia za kuuliza wageni wasafishwe mfereji. Haijulikani huo mfereji unasafishwa wapi wakati mazingira ya huko selo hayana faragha na chooni foleni haishi. Kwa ujumla vitendo vya ulawiti gerezani ni ngumu kufanyika kwa kuwa hakuna faragha ya kufanya tendo hilo
 
Imekuwa ni kawaida kwa jamii yetu mtu akitoka jela(hasa hasa mwanaume) watu kumuuliza kwa utani " vipi wamekuacha salama?" Au kuskia kua jela ukiwa unaoga ukiangusha sabuni usiokote!!! Nimeona kwenye thread ya askari wa Zanzibar 'Rama' watu wengi wanasema akienda jela ataenda kua mke wa watu sijui

Aisee sijakaa jela zote ila katika harakati za utafutaji nimewahi kukaa gerezani 'ghetto' na kwa experience yangu aisee kosa kubwa kuliko lote magereza ni 'kumegana' ... Yaani Bora sijui ukutwe hata umefanya Nini ila sio huo ujinga, hii kitu inapigwa vita kuanzia na wafungwa wenyewe mpaka askari magereza

Kwa ambao hawajawahi ' kufichwa ghetto' aisee usiombe askari magereza sijui mafunzo wanapata wapi Hawa jamaa Wana roho ngumu asikuambie mtu usiombe uingie kwenye 18 zao utakuta kuzaliwa

Jela fanya yote ila mambo ya kulana tigo is a BIG NO maisha yako jela yatakua magumu, Kuna jamaa mmoja alikua na hio tabia akawa anamsumbua dogo mmoja ampe tigo, hapo ni kumuomba maana swala la kusema sijui utambaka mtu ni kitu ambacho hakiwezekani, dogo akawa anamkatalia jamaa kumpa tigo siku jamaa akamshika dogo Tako dogo akaenda kumripoti

Mkuu wa magereza akaita parade jamaa akatolewa mbele, akawaambia askari magereza huyu Kila mkisign in kuingia kabla hamjaanza shift Kila askari anampiga virungu vitano vya ugoko ndo anaanza majukumu yake, aisee jamaa alipigwa mpaka Kuna muda akawa kama kilema, askari wakawa wakimuona hawampigi tena hata wanacheka tu wanamwambia ' we mfir**ji tutakuja kukuua"

Sisemi kwamba hayo matendo hayapo ila ni kwa watu kutaka wenyewe na wafanye siri sana Yani wasijulikane, hivyo jamii inapaswa kuacha kuamini story za kusadikika kua jela kuna Hio tabia sana!!

Ambao wameshawahi kutupwa ghetto nao watapita kutoa experience zao ila mi navyoelewa jela huo mchezo ni Moja ya vitu vinavyopigwa marufuku kupita kiasi!
Binafsi sijawahi kukaa jela, ila numeishi sana kwenye kambi za magereza.

Kiuhalisia, jela hakuna kubakana au kulazimisha lakini Kuna wafungwa wengi tu wanaotaka wanafirwa sana. Na Askari wanajua, mpaka huwa wakitoka unakuta Askari anasikitika tu.
 
Wewe umezidisha chumvi,mtoa mada kakiri hayo yapo ,wanapigana kwa Siri na hiari ya mtu,na usiombe ukamatwe,unaingizwa kwenye chumba kinaitwa selo,mateso yake hautarudi huo upuuzi

Sawa, amini unachoamini. Mimi ninaeleza uzoefu wangu wewe unaeleza masimulizi.
Na zaidi mleta mada kasema" watu wanaombana" hajasema "wanapeana".
 
Yale huwa wanaongea tu watu ambao hawajawahi kufika jela
 
Binafsi sijawahi kukaa jela, ila numeishi sana kwenye kambi za magereza.

Kiuhalisia, jela hakuna kubakana au kulazimisha lakini Kuna wafungwa wengi tu wanaotaka wanafirwa sana. Na Askari wanajua, mpaka huwa wakitoka unakuta Askari anasikitika tu.
Sasa we umeonaje na huingii ndani ya gereza?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watu wanadhani wanayoona kwenye Movie za Kimarekani ndio maisha ya jela Tz navyo yalivyo.

Binafsi naweza kusema, mfungwa au mahabusu ndio raia wenye nidhamu kuliko raia wote maana wanalijua tifu la wavaa karanga kwa wakosa adabu😂😂.
 
Back
Top Bottom