Nani aliwaleta polisi katika uchaguzi wa BAWACHA

Nani aliwaleta polisi katika uchaguzi wa BAWACHA

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Miaka yote tumwona na kusikia CHADEMA ikipiga kelele dhidi ya serikali kutumia polisi kwenye chaguzi mbalimbali za Taifa letu.

Fafanuzi mbalimbali kutoka kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA namna chaguzi za kitaifa zinavyovurugwa na jeshi hili lililojaa makamanda wasio na utu yaani wajaa laana dhidi ya wapizani na wapigakura wa nchi hii

Tumeona kupitia uchaguzi huu wa CHADEMA katika Baraza la Wanawake la BAWACHA, polisi wameitwa kufanya ukamataji dhidi ya wanaoonekana kushinikiza kufuatwa kwa taratibu halali.

Uvurugwaji wa chaguzi zozote nchini unachangiwa na mkono wa polisi kushiriki matendo haramu ya ubakaji wa demokrasia halali.

Nani aliwaita polisi pale Ubungo Plaza?
CCM tokea lini wanaipenda sana CHADEMA hadi kuwapatia msaada wa polisi?
 
Miaka yote tumwona na kusikia CHADEMA ikipiga kelele dhidi ya serikali kutumia polisi kwenye chaguzi mbalimbali za Taifa letu.

Fafanuzi mbalimbali kutoka kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA namna chaguzi za kitaifa zinavyovurugwa na jeshi hili lililojaa makamanda wasio na utu yaani wajaa laana dhidi ya wapizani na wapigakura wa nchi hii

Tumeona kupitia uchaguzi huu wa CHADEMA katika Baraza la Wanawake la BAWACHA, polisi wameitwa kufanya ukamataji dhidi ya wanaoonekana kushinikiza kufuatwa kwa taratibu halali.

Uvurugwaji wa chaguzi zozote nchini unachangiwa na mkono wa polisi kushiriki matendo haramu ya ubakaji wa demokrasia halali.

Nani aliwaita polisi pale Ubungo Plaza?
CCM tokea lini wanaipenda sana CHADEMA hadi kuwapatia msaada wa polisi?
Wacha nikupe namba ya mnyika akupe ufafanuzi!
 
Police hata wewe ukiwataka unawaita tu mkuu...

Simu moja
 
Miaka yote tumwona na kusikia CHADEMA ikipiga kelele dhidi ya serikali kutumia polisi kwenye chaguzi mbalimbali za Taifa letu.

Fafanuzi mbalimbali kutoka kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA namna chaguzi za kitaifa zinavyovurugwa na jeshi hili lililojaa makamanda wasio na utu yaani wajaa laana dhidi ya wapizani na wapigakura wa nchi hii

Tumeona kupitia uchaguzi huu wa CHADEMA katika Baraza la Wanawake la BAWACHA, polisi wameitwa kufanya ukamataji dhidi ya wanaoonekana kushinikiza kufuatwa kwa taratibu halali.

Uvurugwaji wa chaguzi zozote nchini unachangiwa na mkono wa polisi kushiriki matendo haramu ya ubakaji wa demokrasia halali.

Nani aliwaita polisi pale Ubungo Plaza?
CCM tokea lini wanaipenda sana CHADEMA hadi kuwapatia msaada wa polisi?
Nani aliwaita polisi pale Ubungo Plaza?
CCM tokea lini wanaipenda sana CHADEMA hadi kuwapatia msaada wa polisi?👌🏿
 
Hata kwenye simu yako wapo, kama una ufahamu wa cyber intelligence, wanaweza kuziona hata porno unazopiga na mume wako kisha ukasevu kwenye simu, na wanaweza kukuchorea ramani ya mizunguko yako ya siku nzima na watu uliokutana nao
 
Back
Top Bottom