Nani aliwalipia Wasanii gharama za ziara ya Korea?

Nani aliwalipia Wasanii gharama za ziara ya Korea?

Hawajaiba vitu hawa kweli? Ila Tanzania tuna matatizo ya uongozi, hawa wasanii wana umuhimu gani na nchi yetu, wana nini la maana walifanyalo hapa Tanzania?
Upuuzi mtupu. Samia anajiangusha sana kwa kudhani kuwa wasanii watamfanyia kampeni
 
Hata kama Samia anasafiri sana ni bora kuliko Magufuli ambaye alizuia shughuki za siasa, uhuru wa maoni na akawa anaua wakosoaji.

Tumsahihishe tu Rais Samia kwenye matumizi ya fedha lakini hatuwezi kumfananisha na DHALIMU muuaji
Kwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora zaidi barani Africa.
Rais ambaye kidogo anamkaribia Magufuli kwa ubora na Paul Kagame wa Rwanda ,hao wengine ni walamba asali tu.
 
Ni mjinga pekee anayeweza kukataa kukwepa kodi huku akijua kodi yake inaenda kutumika kipumbavu.

Nchi inaongozwa na watu wasiojielewa wanaosukumwa na ajenda za uchaguzi itaendeleaje? Bila watu kuamka na kuitoa ccm madarakani huo upumbavu utaendelea sana tu.
 
Kwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora zaidi barani Africa.
Rais ambaye kidogo anamkaribia Magufuli kwa ubora na Paul Kagame wa Rwanda ,hao wengine ni walamba asali tu.
Kumbe unaongelea madikteta! Sawa
 
Alafu kila siku utawasikia yule bibi kizee na wajukuu zake eti serikali haina hela lazima tukope mikopo yenyewe matumizi yake ndio hayo sasa
 
Nani anamlipa Azizi Ki mshahara wa milioni 90 kwa siri hadi amekubali kubaki Tanzania?
Watanzania tuwe wapole tu nchi ina utajiri mkubwa
Amepewa Tsh 90 Million + Hamisa Mobetto
 
Kwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora zaidi barani Africa.
Rais ambaye kidogo anamkaribia Magufuli kwa ubora na Paul Kagame wa Rwanda ,hao wengine ni walamba asali tu.
Huyo unayemuona bora ndiye aliyeleta uchawa wa kijinga nchini na mambo ya kutishana na aliyemfuatia anaendeleza yale yale. Ni katika awamu ya jiwe kila anayejiita msanii akaamua kufanya siasa na hangaya anayaendeleza yale yale. Kwa ufupi ccm imeshapoteza ushawishi ndio maana wanahangaika kutafuta boost.
 
Acheni ujinga! Kwenye ndege first class hakuna Meza ya mzunguko na wqla hakunaga Meza na TV kubwa hata ikiwa ndege Boeing.
Hapo yuko klabu za mjini !!
Ukipata hela na wewe jaribu kusafiri kwa ndege ndiyo utaelewa. Boeing 787 yenye ghorofa na inayobeba hadi abiria 330 ina bar ndani. Flight za Emirates ktoka DBX kwenda Hong-Kong, Seoul, Beijing, Kuala Lumpur na majiji mengine makubwa hutumia sana ndege hizi.

Screenshot_20240713_051151_Google.jpg


Yawezekana umepanda ndege ila umeishia Mwanza au KIA kwa Airbus A220. Tembea uone, wacha ubishi
 
Back
Top Bottom