Boeing 787 haina ghorofa, zenye ghorofa ni Boeing 747 na Airbus A380 tuUkipata hela na wewe jaribu kusafiri kwa ndege ndiyo utaelewa. Boeing 787 yenye ghorofa na inayobeba hadi abiria 330 ina bar ndani. Flight za Emirates ktoka DBX kwenda Hong-Kong, Seoul, Beijing, Kuala Lumpur na majiji mengine makubwa hutumia sana ndege hizi.
View attachment 3040846
Yawezekana umepanda ndege ila umeishia Mwanza au KIA kwa Airbus A220. Tembea uone, wacha ubishi
Tulikua wengi tu hatukuelewa πππWema hataki tena kuonekana kwenye visherehe vya kijinga ukihitaji kufanya nae kazi makutano ya maongezi yenu ni ngoro au serengeti,
una kichwa kizito lakini na wewe
Ubora wa Magufuli utoke wapi? Bado mupo BRAINWASHED na uwongo aliowapandikiza marehemu? Nyie sasa ni full MISUKULEKwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora zaidi barani Africa.
Rais ambaye kidogo anamkaribia Magufuli kwa ubora na Paul Kagame wa Rwanda ,hao wengine ni walamba asali tu.
Uzalendo 0Wabongo sisi ni kulalamika tu always nafikiri mmoja kati yetu angekuwa ni sehemu ya hiyo ziara bila shaka angekula buyu
Mambo ya serikali...
This is beyond stupidity kwa kweli, hivi hata hao Wakorea wanatuonaje sisi Watanzania kwa ujinga huu? Jamani kwa kweli hapa Mama kachemsha maharage ya jana na yameungua, just look at those wasanii, they are all uselessπ±Upuuzi mtupu. Samia anajiangusha sana kwa kudhani kuwa wasanii watamfanyia kampeni