Nani aliwashauri Yanga kufanya Wananchi Media Day?

Hizo pesa za media day afadhali wangelipa deni la tambwe naona matunda ya ushauri wa senzo
 
Raha sana kusoma comments za Utelembwe a.k.a Manguruwe.
 
Mshamba mmoja wewe usiejua mazoezi ya kuogelea pia yanasaidia kwenye pumzi na Stamina kidogo [emoji23]

Na kwa taarifa yako lengo la Mwananchi media day sio hilo, ni lingine hicho ni kionjo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kuzingua watu wenye akili zetu wewe
 
Uto katika ubora wake
Mzungu wenu wa Nguruka anasemaje kuhusu Wananchi Media Day?

Kwamba nani wa kwanza kuifanya Tanzania?

Wananchi ambao ni humble hawana habari!
 
Mzungu wenu wa Nguruka anasemaje kuhusu Wananchi Media Day?

Kwamba nani wa kwanza kuifanya Tanzania?

Wananchi ambao ni humble hawana habari!
Wananchi Media Day ni total failure, habari zake zilikua shadowed na mechi ya Azam na Mazembe
 
Kitu walichofanya Utopolo ni sawa tu wanachofanya simba sc. Isipokua utofauti wake ni kwenye ueledi wa jambo. Toka mwaka juzi simba Wanafanya media tour ambapo wachezaji wanatembelea media mbalimbali, kwanza ili kuimarisha ushirikiano na media. Pili inawaandaa Wachezaji pia kufahamu jinsi gani vipindi mbalimbali vinavyoandaliwa na kuendeshwa.
Utopolo wao wakawaita waandishi wa habari kwenda kwenye kambi yao wanayoishi, Imeogeza ushirikiano kwa sababu moja tu, kwa vile waandishi wengi ni njaa tupo hivyo kwa chakula walichoandaliwa kitawafanya wakumbuke.
Ila kiueledi haijawasaidia kitu chochote Wachezaji wa Yanga kwenye hii issue ya media day. Hamna kitu walichojifunza kuhusu media, zaidi ya wao kuangaliwa wakiwa wanaoga na kufanya mazoezi.
Mwisho, Asante Utopolo kwa kua mabalozi wazuri wa hotel yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…