Nani Aliyeandaa ile Speech Mbovu ya Madame President?

Nani Aliyeandaa ile Speech Mbovu ya Madame President?

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2021
Posts
4,779
Reaction score
9,999
Tukiacha Uchawa na kujipendekeza kama Kahaba aliyeona mkoba wa Dhahabu za Babylon kwenye chumba cha siri kwa kuhani wa mungu Murduk ndani ya hekalu la Enki.

Ile hotuba Madame kaharibu kabisaaaa badala ya kujenga anabomoa mpaka vumbi litimke,

Haiwezekani aisee jana naangalia nusu kidogo nirushe tonge la ugali kwenye Screen maana niliona kama mauza uza hivi.

Nikajiuliza kama watu ambao tunadhani Wana akili timamu na tumewapa dhamana kwa kuwaamini Wana akili zote ndio wanaandaa utumbo kama ule vipi mwenyekiti wangu wa mtaa huko Namtumbo ngumbaru aliyepita bila kupingwa si ndio atatoa maagizo ya mtu kutolewa bandama?

Ifike mahali kama nchi tujitafakari hawa tunaowapa dhamana Wana akili timamu kweli au ni vichaa waliochangamka!

anyway yawezekana Madame President alipitiwa maana kama binadamu tunakosea ila kama alikusudia akiwa na maana ya kupanic kutokana na yanayoendelea hapo inaonekana wazi Wapinzani wake wa kisiasa wamemuingiza kwenye 18 zao na kajaa bila kujua kawapa point 3 za bure na ligi ndio imepamba moto,

naombeni sana kama mnanisikia mtu mzima hua hakosei ndio siasa za Afrika zilivyo ila angalau mrekebishe mambo madogo madogo ambayo yanasababisha matatizo makubwa yatokee,

Haiwezekani useme kabisa 'zile Sheria za kipindi kile bado zipo na zinafanya kazi'
wakati hao hao ukiingia nao field kwa mahakama wanakugaragaza mchana kweupe mpaka mnapanic na kuwapiga Risasi mchana wa jua kali!

Najua mkitumia nguvu ndio mtawaweza ila kama Sheria hizi hizi za mkoloni thubutu watawaaibisha mchana kweupe,

Note: When a Wise man Rise, Wisdom taking place

Angalieni panapovuja msije sema hatukusema...
 
Tukiacha Uchawa na kujipendekeza kama Kahaba aliyeona mkoba wa Dhahabu za Babylon kwenye chumba cha siri kwa kuhani wa mungu Murduk ndani ya hekalu la Enki,
Ile hotuba Madame kaharibu kabisaaaa badala ya kujenga anabomoa mpaka vumbi litimke,

Haiwezekani aisee jana naangalia nusu kidogo nirushe tonge la ugali kwenye Screen maana niliona kama mauza uza hivi,
Nikajiuliza kama watu ambao tunadhani Wana akili timamu na tumewapa dhamana kwa kuwaamini Wana akili zote ndio wanaandaa utumbo kama ule vipi mwenyekiti wangu wa mtaa huko Namtumbo ngumbaru aliyepita bila kupingwa si ndio atatoa maagizo ya mtu kutolewa bandama?

Ifike mahali kama nchi tujitafakari hawa tunaowapa dhamana Wana akili timamu kweli au ni vichaa waliochangamka!

anyway yawezekana Madame President alipitiwa maana kama binadamu tunakosea ila kama alikusudia akiwa na maana ya kupanic kutokana na yanayoendelea hapo inaonekana wazi Wapinzani wake wa kisiasa wamemuingiza kwenye 18 zao na kajaa bila kujua kawapa point 3 za bure na ligi ndio imepamba moto,

naombeni sana kama mnanisikia mtu mzima hua hakosei ndio siasa za Afrika zilivyo ila angalau mrekebishe mambo madogo madogo ambayo yanasababisha matatizo makubwa yatokee,

Haiwezekani useme kabisa 'zile Sheria za kipindi kile bado zipo na zinafanya kazi'
wakati hao hao ukiingia nao field kwa mahakama wanakugaragaza mchana kweupe mpaka mnapanic na kuwapiga Risasi mchana wa jua kali!

Najua mkitumia nguvu ndio mtawaweza ila kama Sheria hizi hizi za mkoloni thubutu watawaaibisha mchana kweupe,


Note: When a Wise man Rise, Wisdom taking place

Angalieni panapovuja msije sema hatukusema...
gentleman,
unazungumzia ile the most powerful speech ever, by the head of state Dr.Samia Suluhu Hassan, kwa Taifa na dunia nzima, ya jana?🐒
 
Tukiacha Uchawa na kujipendekeza kama Kahaba aliyeona mkoba wa Dhahabu za Babylon kwenye chumba cha siri kwa kuhani wa mungu Murduk ndani ya hekalu la Enki,
Ile hotuba Madame kaharibu kabisaaaa badala ya kujenga anabomoa mpaka vumbi litimke,

Haiwezekani aisee jana naangalia nusu kidogo nirushe tonge la ugali kwenye Screen maana niliona kama mauza uza hivi,
Nikajiuliza kama watu ambao tunadhani Wana akili timamu na tumewapa dhamana kwa kuwaamini Wana akili zote ndio wanaandaa utumbo kama ule vipi mwenyekiti wangu wa mtaa huko Namtumbo ngumbaru aliyepita bila kupingwa si ndio atatoa maagizo ya mtu kutolewa bandama?

Ifike mahali kama nchi tujitafakari hawa tunaowapa dhamana Wana akili timamu kweli au ni vichaa waliochangamka!

anyway yawezekana Madame President alipitiwa maana kama binadamu tunakosea ila kama alikusudia akiwa na maana ya kupanic kutokana na yanayoendelea hapo inaonekana wazi Wapinzani wake wa kisiasa wamemuingiza kwenye 18 zao na kajaa bila kujua kawapa point 3 za bure na ligi ndio imepamba moto,

naombeni sana kama mnanisikia mtu mzima hua hakosei ndio siasa za Afrika zilivyo ila angalau mrekebishe mambo madogo madogo ambayo yanasababisha matatizo makubwa yatokee,

Haiwezekani useme kabisa 'zile Sheria za kipindi kile bado zipo na zinafanya kazi'
wakati hao hao ukiingia nao field kwa mahakama wanakugaragaza mchana kweupe mpaka mnapanic na kuwapiga Risasi mchana wa jua kali!

Najua mkitumia nguvu ndio mtawaweza ila kama Sheria hizi hizi za mkoloni thubutu watawaaibisha mchana kweupe,


Note: When a Wise man Rise, Wisdom taking place

Angalieni panapovuja msije sema hatukusema...
Nampongeza aliyeandaa Ile speech maana amewapa za uso vibaraka na waliowatuma ,Toka Jana wanaweweeseka hawajui wanywe aunwateme.

Safi sana Rais hao watu walitaka wakuchezee
 
Nampongeza aliyeandaa Ile speech maana amewapa za uso vibaraka na waliowatuma ,Toka Jana wanaweweeseka hawajui wanywe aunwateme.

Safi sana Rais hao watu walitaka wakuchezee
Seriously aaah naanza kuamini ya kwamba pale corridor za Lumumba dau limeongezeka kutoka
Buku Saba mpaka buku tisa jero!
😂😂
 
Kwa Kawaida Hotuba huwa inaandaliwa na timu ya Rais.Na kisha hujadiliwa na team yake,na ndipo version iliyokubalika huchapwa.Huo ndio utaratibu.Hivyo pale Moshi hotuba iliyochapwa IPO,ndiyo maana Taarifa Kwa Vyombo vya habari iko hivyo.Ila kama ukiandaliwa hotuba kisha ukaenda off script,unaweza Fanya kama Mzee Baba alikuwa anasema hii nimechomekea.Nadhani mnakumbuka karibu Marais wote wamewahinfanya hizi isipokuwa Nyerere na Mkapa.Nakumbuka wakati wa Mwingi ilikuwa Kawaida.Wakati wa Mgomo wa UDSM Miaka ya 1990s aliwaita wazee wa DSM kisha akahutumia.Wazee wa Pwani wakamshangilia,akatupa kule script.Wamama wa Pwani na shungi zao wakawa wanasema wambieeeee.Mzee kamwagika vijembe Tosha.Sema Enzi hizo Nyerere alikuwa bado hai hivyo hata Vyombo vya dola vilitembea na Sheria na Kanuni za Utumishi serikalini.
 
Ni wale chawa wake
Written speech haikuwa na shida bila shaka liandaliwa vizuri. Tatizo linakuja muhusilka anapoamua yeye kutoka nje ya mada zilizoandikwa. Ni nyerere peke yake aliye kuwa na uwezo wa kuhutubia pasipo kuwa na karatasi. Ukijaribu kumuiga matokeo yake nidyo kwenda offrail na kutamka wakati mwingine yasiokuwa na staha.
 
Back
Top Bottom