Nani Aliyeandaa ile Speech Mbovu ya Madame President?

we ndio unachukua postgraduate ya mihemko na ghadhabu eeh gentleman?πŸ’
Hapana kusema ukweli napenda na natamani Madame aache Legacy kama ya Queen Elizabeth au Magreth Thatcher na Kina Condoleza Rice na kadhalika
Sema wachache pale corridor za Lumumba wanataka aharibu Ili wajipatia kitanzi cha kumning'iniza siku za usoni au hujui siasa ni Squid game?
 
Teacher alifaulu kuanzia chekechekea mpk masters, maza alikula miswaki F4 kafika hapo kwa kujuana na rushwa
 
Ile hotuba ina harufu yote ya Prof. wa Jalalani.
 
CCM wanatupeleka pabaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…