Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongeze na NuruellyMimi ninajua king of R&B ni rama dee
Kwani TZ kuna anayeimba R&b kweli?? Mi naona marumba tu....na ladha za kibongo fleva...kidogooooo kwa mbali belle9...but hakuna anayeimba rnb
tutajie mfalme unayemuona wewe kuwa anastahili ufalme wa RnB hapa udafuniniUmeanza Kujua, Kuulewa na Kuufuatilia mziki lini Mkuu? Mtu yoyote anayesema Ben Paul ni Mfalme wa R&B nadhani anatakiwa awahishwe upesi sana Wodini pale Mirembe Hospital Mkoani Dodoma kwa matibabu ya haraka.
tutajie mfalme unayemuona wewe kuwa anastahili ufalme wa RnB hapa udafunini
ana ngoma inaitwa Sara..kuna nyingine yaitwa hola (vikao vya family)...achilia mbali kipndacho roho ...Jamaa nihatari sana..sema Ben Paul sio mtu wakubezwa pia anajua mnooKweli mkuu Rama Dee anaweza...Mi naikuikubali nyimbo yake ya "SIWAOAJI HAO''.
Hivi rama dee kaimba wimbo ganiHajafikia hata kwa Rama Dee.
Kweli mkuu.ana ngoma inaitwa Sara..kuna nyingine yaitwa hola (vikao vya family)...achilia mbali kipndacho roho ...Jamaa nihatari sana..sema Ben Paul sio mtu wakubezwa pia anajua mnoo
Naomba katafute album yakeWa Tanzania tuko na kasumba ya kutukuza vilivyopita na kudharau vilivyopo.
Hebu mwenye list ya nyimbo kali 5 za rama dee atuwekee tufanye comparison na 5 kali za ben