Mwl@gfsonwin.... missing you..sio kweli mumie,
mwanamke yyte yule endapo alikuwa anpenda kuzaa halafu hakubahatika kuzaa kwa wakati huwa anaumia sana na anapokuja kupata nafasi hiyo hujiskia furaha sana.
hata ukisoma novels utayakuta hayo
Ni ya Baba swalehe...Hapo ushahidi ni mugumu. Cha msingi hapo ana mimba na ndoyo zake zimetimia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenye mimba huyu hapa....
Tupo watatu aisee. Mimi kwa sababu sipendi maigizo kwenye maisha halisi.tupo wawili, wewe na mimi tu! sijui wewe, ila mimi kilichoniponza ni sababu ile alosema Mzee Ben 'ulofa'
Wema hajawahi kuwa na matatizo ya uzazi.Alitaka mumuongeleesikuwai kudhan wana jf ni vichwa box kias hiki mmesahau kua wema akiri hawez kupata mtoto tena kizazi kina shida mmenisikitisha sana yaani saaaaaaaaaana
Wakati wapenzi na mashabiki wa Tanzania sweetheart beautiful Onyinye, Wema Sepetu wakifurahi na kushangilia mimba ya Wema na boyfriend wake Idris, pia maswali kadhaa juu ya nani aliyempachika mimba Wema yameendelea kuzunguka.
According to anayesemekana ni baba kijacho, amesema wanategemea Wema ajifungue baada ya miezi sita au saba, ambapo kwa maana hiyo Muda huu ana mimba ya miezi mitatu.
Mimba ya miezi mitatu ni mimba iliyoingia mwezi wa kumi na moja (November) ama mwezi wa kumi (October) , ambapo wakati huo Wema Sepetu alikua katika mapenzi na x boyfriend wake Luis Munana.....
Kama alipata mimba mwezi huu Kuna uwezekano ni ya Luis
Maswali yanayogonga kwa watu ni;
1. Je, wakati Wema yupo na Luis alikua anagongwa na Idris??
2. Kama sio, Ina maana aliyempachika mimba ni Luis?
3. Ni nani aliyempachika mimba Wema Sepetu?
View attachment 319769
Wakati wapenzi na mashabiki wa Tanzania sweetheart beautiful Onyinye, Wema Sepetu wakifurahi na kushangilia mimba ya Wema na boyfriend wake Idris, pia maswali kadhaa juu ya nani aliyempachika mimba Wema yameendelea kuzunguka.
According to anayesemekana ni baba kijacho, amesema wanategemea Wema ajifungue baada ya miezi sita au saba, ambapo kwa maana hiyo Muda huu ana mimba ya miezi mitatu.
Mimba ya miezi mitatu ni mimba iliyoingia mwezi wa kumi na moja (November) ama mwezi wa kumi (October) , ambapo wakati huo Wema Sepetu alikua katika mapenzi na x boyfriend wake Luis Munana.....
Kama alipata mimba mwezi huu Kuna uwezekano ni ya Luis
Maswali yanayogonga kwa watu ni;
1. Je, wakati Wema yupo na Luis alikua anagongwa na Idris??
2. Kama sio, Ina maana aliyempachika mimba ni Luis?
3. Ni nani aliyempachika mimba Wema Sepetu?
View attachment 319769
Ndoyo ni kiluga au??Hapo ushahidi ni mugumu. Cha msingi hapo ana mimba na ndoyo zake zimetimia.
bado hujachelewa utapiga tuu maake yule ata sasaivi ukimuitaji unampata piga kisela muda ndo huu hujachelewaKapachikwa na maganga wa kienyeji...
Atakuwa kapachikwa mimba na mwanamme flani hivi lakini sio ishu wala nini.Wakati wapenzi na mashabiki wa Tanzania sweetheart beautiful Onyinye, Wema Sepetu wakifurahi na kushangilia mimba ya Wema na boyfriend wake Idris, pia maswali kadhaa juu ya nani aliyempachika mimba Wema yameendelea kuzunguka.
According to anayesemekana ni baba kijacho, amesema wanategemea Wema ajifungue baada ya miezi sita au saba, ambapo kwa maana hiyo Muda huu ana mimba ya miezi mitatu.
Mimba ya miezi mitatu ni mimba iliyoingia mwezi wa kumi na moja (November) ama mwezi wa kumi (October) , ambapo wakati huo Wema Sepetu alikua katika mapenzi na x boyfriend wake Luis Munana.....
Kama alipata mimba mwezi huu Kuna uwezekano ni ya Luis
Maswali yanayogonga kwa watu ni;
1. Je, wakati Wema yupo na Luis alikua anagongwa na Idris??
2. Kama sio, Ina maana aliyempachika mimba ni Luis?
3. Ni nani aliyempachika mimba Wema Sepetu?
View attachment 319769