GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kakimbia nchi acha Kunibishia GENTAMYCINE sawa? Narudia tena kukuambia kuwa Kiboko ya Wachawi hayupo Nchini.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ila kimsingi jamaa bado yupo Tanzania amejificha tu .
Mali zake aliandikisha kwa mke wake maana yeye ni mapare mtanzania
USSR
Nakubaliana nawe kwa 100% Mkuu.Watanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Wpmbv sana tena wa kutupwaWatanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Ni huyu huyu ama umeweka code.. ?Kakimbia nchi acha Kunibishia GENTAMYCINE sawa? Narudia tena kukuambia kuwa Kiboko ya Wachawi hayupo Nchini.
Mh! Unaongea krais sana syo serkali za kiafrka mjomba hy pesa wakiamua kuz block mkeo akatolee maelezo ndy utajua nch n kubwa kuliko wwMkuu wa mkoa wa Dar es salaam ila kimsingi jamaa bado yupo Tanzania amejificha tu .
Mali zake aliandikisha kwa mke wake maana yeye ni mapare mtanzania
USSR
vichwaa vyao vinakuwa vimejazwa ujinga hata akili ya kufikiria wanakosa🚮Wabishi hao hawasiki hawaambiliki
Ova
Nchi ina wajinga wengi sanaSerekali haitakiwi kumfanya chochote huyo ni mbunifu aliona fursa kutokana na wimbi la kuwepo na wajinga TZ na akatumia fursa
Siku zote wajinga ni chakula cha wajanja