Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Pole sana mkuuDah laki tano yanguðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuuDah laki tano yanguðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Tz shamba la Bibi ,PK hataki huu Ujinga ndiyo maana alifuta makanisa ya mabii feki yote.Arudi kuja kuendeleza utapeli wake....washaona huku kuna wpmbv wengi na walikuwa wanajipigia tu
Mwambie ahamie kwa kagame sasa
Ova
AsantePole sana mkuu
Mbarikiwa anasema Kuna tofauti Gani kati ya ki oko ya wajinga na Mwamposa wakamatwe wateTaarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.
Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?