Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Tumelala sana, yani hata pastor aliejichubua anatutapeli.....
Mhuni Promax yule.
Alikuwa Anachamba watu popote hata akiwa madhabahuni.
Anaongea mambo ya chupi na shanga popote.
Yaani kwa kweli tulipatikana.
Iła kwa Hela amejua kuzipiga.
Mamilioni ya Hela.
Sijui yeye na wale vijana wake wavaa macheni walikuwa hawapigi hesabu za mbele kuwa mchezo huu mwisho wake utakuwa lini? Na utakuwaje?
Na Kwamba hawakufikiri kuwa mwisho utakuwa mbaya?
Dhamiri zao zilikufa kiasi cha kushindwa kujua kuwa Hela huwa ni adimu na hupatikana kwenye mazingira magumu na Kwamba hizi tunazowaibia kuna wakati wowote kitanuka?