Nani aliyemwambia 'Kiboko ya Wachawi' akimbie Nchini baada ya Kanisa lake la Kitapeli Buza Kufungiwa?

Arudi kuja kuendeleza utapeli wake....washaona huku kuna wpmbv wengi na walikuwa wanajipigia tu
Mwambie ahamie kwa kagame sasa

Ova
Tz shamba la Bibi ,PK hataki huu Ujinga ndiyo maana alifuta makanisa ya mabii feki yote.
 
Mbarikiwa anasema Kuna tofauti Gani kati ya ki oko ya wajinga na Mwamposa wakamatwe wate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…