Mna wivu sana!!Mbona umekazania kuhusu wivu? Unaweza kuthibitisha kwa hoja za kisomi?watu wachache wasikupe uhalali wa kuwanjia heshima wengine. Taja mkoa wako unaotokea ndipo tufanye ulinganishi.
Kwa haraka haraka nimehisi una chuki na mmoja wa watu wa Mara so unatafuta namna ya kujifariji.
Mara ni moja ya mikoa yenye makabila mengi, je inawezekanaje wote wakawa na wivu sawa kiasi unachodai?
Kabisa mkuuUbabe , Majungu , Majivuno , Roho mbaya Sisi kwa Sisi.
Mkuu kama hutojali hebu funguka kidogo kuhusu hiyo chui republic. Niliwahi kusikia habari yake wakati flan nikiwa mdogo ila memory ilifuta kwa sasa sikumbuki loloteKuchukiana imetokana na divide and rule policy ya Nyerere baada ya jaribio la kuanzisha Jamhuri ya Chui. Aliwagawa wakurya baada kuona ni watu hatari sana kwa utawala wake. Mojawapo ni kuwachonganisha kwa kuvuruga mipaka ya vijiji. Fanya research utajionea
sina uhakika chiefHivi Tarime ni Halmashauri ya Mji mdogo au ni Mji kamili?
Vv
yes ni kweli mkuuNimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.
Mkuu wanafahamu sana wakurya wana wivu uliopitiliza pia majungu
wajita mkuuMi ni Msukuma lakini wakurya hawana wivu wala majungu huu ni uongo!!!
Aisee hatarii asikuone unakitu cha kumzidiwawaWaWajitw
wajita mkuu
Hao ni wajita na wazanaki wivu husuda na uchawiNimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.
Duh msonge dah ila kwa siro pale kaibakari pamebadilikaNawashukuru kwa michango yenu ,ila kuna mambo nataka niyaweke sawa.Welema anatokea Kijiji kinaitwa kongoto wilaya ya Butiama,Mhongo anatokea Majita ,Mkono anatotokea Butiama na Eriakimu Maswi kwao ni tarime,Uliyeongelewa wakurya utakuwa hujafanya utafiti vzr,Hakuna kabila lenye husuda kwa mkoa wa Mara kama Wajita yego jaji, Suala la watu kujenga kwao inatengemeana ila siyo mambo ya kurongwa .Nenda kwao Jaji Warioba huwezi amini kuwa ndipo anatokea,Lkn kwao mke wake moshi mambo yako vzr,Hivyo hivyo kwao welema alijenga msonge tena baada ya wazee kukomalia kuwa huwezi kufikia kwenye nyumba mama yake mzazi,Kwahiyo suala la kujenga hata wanawake tunaoa wanaweza kuchangia mwanaume kushindwa kuwekeza nyumbani.
Kwa ufitini Wakurya wanaweza kuwa wa 1 au 2 nchini.Nimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.
Huwajui kwa umbeaNawakubali Wakurya sana hawana double standards . Wako very straight
100% correct!Wakurya wana wivu na majungu sana.
Tuambie wewe wakurya gani wana majungu maana siye tunajua mkurya ni mkurya tu.Wewe sasa una matatizo yako
Hauwafahamu wakurya
Hizo ni fikra zako tu ndogo ndizo zinazokutuma kufikiri hivyo
Unaposema wakurya ni kama useme wachaga
Humo ndani yake kuna Wamarangu, wakibosho, wamachame n.k
na wakurya nao wapo hivyo hivyo
Humo ndani kuna wanchari, warenchoka, wakira, wanyamongo n.k
Sasa usipende sana ku generalize
Coz tabia za wamachame sio tabia za wachaga wote
Hivyo jifunze
Uliposema "Shem on us" nimekuelewa zaidi.Kabisa mkuu, yaani hadi inatia hasira kweli, watu hadi wanaogopa kwenda kwao, wa wakienda kwao kusalimia wanaingia usiku, na siku ya kuondoka ni hivyo hivyo! Shem on us Mara people.
Kuhusu Wakurya Mimi binafsi hunidanganyi. Hawa watu ni wafitini na watu wa kujipendekeza na kuchongea wenzao makazini. Waulize Polisi sasa hivi wanavyolia kwa kuongozwa na Mkurya. Ni wanafiki kuliko kawaida.Hapo Mnaongelea Musoma na vitongoji vyake, Tarime pako poa sana, ni mji ambao mgeni hata akifika hatamani kuondoka, fursa zipo kibao, na Yule aliyesema Wakurya wana husuda na fitina hawajui vizuri, labda anahisi Mkoa wote wa Mara wenyeji ni Wakurya, Musoma nature ya eneo ndio inapafanya pawe nyuma, ni peninsula, barabara ya kutoka na kuingia ni hiyo hiyo moja, hakuna shughuli yoyote ya maendeleo mbali na uvuvi ambao ni wa kusuasua ukilinganisha na maeneo mengine kama Bunda na Mwanza, hali ya hawa na ardhi sio nzuri kwa kilimo, wenyeji wake sio wafugaji, pale kupata maendeleo ni ngumu sana, ni bora hata Makao Makuu ya Mkoa wangepeleka Tarime
Wewe kweli unawafahamu.yani kama ulikuwepo kichwan mwangu...
ni selfish
wajivuni
wajuaji
kunaaringo fulani hivi../kujisikia
wanajua kila kitu....