Hapo Mnaongelea Musoma na vitongoji vyake, Tarime pako poa sana, ni mji ambao mgeni hata akifika hatamani kuondoka, fursa zipo kibao, na Yule aliyesema Wakurya wana husuda na fitina hawajui vizuri, labda anahisi Mkoa wote wa Mara wenyeji ni Wakurya, Musoma nature ya eneo ndio inapafanya pawe nyuma, ni peninsula, barabara ya kutoka na kuingia ni hiyo hiyo moja, hakuna shughuli yoyote ya maendeleo mbali na uvuvi ambao ni wa kusuasua ukilinganisha na maeneo mengine kama Bunda na Mwanza, hali ya hawa na ardhi sio nzuri kwa kilimo, wenyeji wake sio wafugaji, pale kupata maendeleo ni ngumu sana, ni bora hata Makao Makuu ya Mkoa wangepeleka Tarime