Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Wanavuna wanayopanda. Ubinafsi ni tatizo sana
Kuna mmoja nilinunua gari lilikuuma hadi akaenda ikwangua na jiwe kumbe watu walimuona asee... nilichomfanya hatonisahau ktk maisha yake
 
Akili zako fupi kama haujadili watu unatafuta nini hapa? Hebu kimbia haraka
 
Eti mwanaume mzima unalalamika watu wa Mara wana wivu, seriously?

Aisee kwa style hii lazima utuchukie tu.

Mwanaume mwenye tabia za kike hawezi kuwapenda watu wa Mara!

Mwingine anaongelea uchawi, watu Mara ni washirikina kushinda watu wa shinyanga, tanga, Rukwa (sumbawanga)? Yani ukisema tuipange mikoa yenye ushirikina Mara ni ya mwisho kabisa.

Watu wa Mara hawana time for bull shit. Ukizingua anakuharibu physically, uchawi sio sehemu ya maisha yetu!

Mara kuna wakurya, wajaluo, wajita, wazanaki na makibila mengine madogo madogo kibao. Sasa kuna wapuuzi wakisikia Mara wanajua ni wakurya tu, educate your self!
 
wa kuthibitisha Roho mbaya sikuizi mkoa wa mara unaanzia Bunda, kwanzia serengeti ni Simiyu eti... mwaka jana nmepita nmesikitika sana...
Wapoti mi naona Tukinukishe tu hakuna namna
 
mkoa wa mara mtauelewa pakinuka siku[emoji23]..... Mara ni mahala ambapo Kuna Marshal Tribes hapawezi kupendeza kindezi ndezi kama zanzibar
 
Na wala Mara sio wazubaifu kihivyo ila ni kama alivosema mchangiaji hapo juu,watu wengi wa Mara wakifanikiwa kidogo tu wanakimbilia kuwekeza Mwanza na mkoa wao unabaki bila fursa za mzunguko wa fedha siku hadi siku. Inasikitisha sana
Ndiyo wanakimbia majungu na kurogana , utasikia yego yego [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Nilikuwaga na demu wa kikurya dadadeki...nilikoma mwenyewe siwezi kurudia tena
 
Wale watu ni development haters. Wao kwa wao kurogana ni nje nje. Wageni wanaofanya kazi kule wanapata shida sana ktk uwekezaji sababu ya ushirikina na majungu/fitna.
Jenga kijumba chako dar Mungu wangu wanahamia wote majungu sasa kwa mke wa ndugu yao usiombe uwe kabila jingine utakoma hasa wajita + wakerewe hawachelewi kukutumia mamba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo kanda maalumu wabishi sana hata kushaurika ni mpaka ukauke koromeo tena kwa wake zao ndiyo kabisa ubabe sana, ukiona mke asiye wahuko kajenga kwao kashauri mpaka kachoka na kuamua kujiongeza
 
mara watu wake ni wagumu sana kuongeza wanawake nisifa mke kuletewa mke kwao ni sawa mwanaume anakula siri na wazazi akipata hawara jioni asubuhi ni mke [emoji12]ukiona amepata pesa tegemea wake hata kumi siyo maisha
Ndicho wanachoweza
 
Mkuu matola kumbe na wewe MMARA mwenzangu
 
Kwa hilo la kusingizia wanawake litawagharimu sana,mwanamke anasababisha vp ww usijenge kwenu?,hebu kuweni serious bhana...
Na hiyo husingizia kama mke sio wa huko kwao ni(mnyamahanga) watu wenyewe wabishi hawashauriki
 
Duu pole sana shost
 
Usiombe ndugu yao aoe kabila jingine wee wanamajungu hao
Kazi kweli kweli si kwa majungu hao, mi nilikuwa na boyfriend wa huko mbeya balaa hana siri mkikutana naye lazima akatangaze tu, uzalendo ukanishinda yani ni wambeya hao
 
Mkoa wa Mara unabebwa na wilaya inaitwa Tarime. Tarime ni wilaya inayo kuwa kwa kasi sana kwa siku za hivi karibuni. Tofauti na Musoma kupewa makao makuu ya mkoa basi wilaya hii ya Tarime ilifaa kabisa kupewa makao makuu ya mkoa. Tarime ni wilaya iliyo jirani kabisa na mpaka baina ya Tanzania na Kenya. Pia Wilaya ya Tarime ina mgodi mkubwa wa dhahabu. Na wilaya ya Tarime asilimia kubwa imekaliwa na kabila la wakurya hawa watu wako vizuri sana katika utafutaji. Sababu hizi tatu kwa uchache umeifanya wilaya ya Tarime kukua kwa kasi. Anae waponda wakurya ni vile hawajui hawa watu vizuri. Wakurya ni watafutaji balaa hawa watu achana nao kabisa kwa sasa wanakuja kwa kasi sana. Tizama Jiji la Mwanza wafanyabiashara asilimia kubwa ni wakurya nenda pale Mwanza mtaa wa Libeti maduka mengi ni ya wakurya. Mule makoroboi wamejazana balaa, haya nenda tena kule mabatini kuna wafanyabiashara wakurya wanauza nafaka we acha tu, Mwanza asilimia kubwa inaongozwa na wafanyabiashara wakurya. Ndio maana katika mkoa wa Mara wilaya iliyo katika hali nzuri ni Tarime ukitoa Musoma na Musoma ni vile ni makao makuu ya mkoa bila hivyo aisee Tarime ingekuwa mbali. Ww unae wasema wakurya vibaya aisee nakuonea huruma ni vile huwajui tu. Mwanza, Mara, Shinyanga, Kahama, nakwingineko Wakurya wamekamata vilivyo katika biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…