GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi…..
" Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo kabisaa ana pinduka kama kiti cha saloon na hata huko kwenye ligi waji pange sawa sawa maana simba haishikiki " maneno ya kocha wa pyramids baada ya mchezo wa jana.
Ahsante sana Kocha Mkuu wa Pyramids FC kwa kuwa Muwazi na Mkweli.
" Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo kabisaa ana pinduka kama kiti cha saloon na hata huko kwenye ligi waji pange sawa sawa maana simba haishikiki " maneno ya kocha wa pyramids baada ya mchezo wa jana.
Ahsante sana Kocha Mkuu wa Pyramids FC kwa kuwa Muwazi na Mkweli.