Nani ambaye hujampigia simu kitambo ungependa kumpigia leo?

Nani ambaye hujampigia simu kitambo ungependa kumpigia leo?

Kabisa aisee ila utakuta mwengine mmeachana vizuri tu lakini hukumpigia muda mrefu tu mkuu.
Nayo pia huwa inatokea nafkiri ni kujisahau au kupitiwa na mambo mengi mkuu.
 
Aisee pole sana kiongozi, kikawaida binadamu baadhi yao wapo hivyo ukijiweka nao karibu sana inakuwa unaongeza shida nyingi kwa upande wako, watakujazia matatizo yao lukuki kiasi kwamba mpaka unajutia.

Kuna jamaa ilikuwa akipigiwa simu na ndugu zake swali lao kubwa utaskia "UNAOA LINI ETI...?" basi huwa anakereka sana, ikampelekea kutopokea simu zao na hata yeye mwenyewe hawapigii tena siku hizi labda itokee dharura kubwa.
hili swali linakera sana
 
Andiko kama hili nililiona fb kwa mwanadada Laura Pettie zaid ya miaka 3,kwakweli toka nimesoma kwake huwa nilifanyia kazi
Safi sana sijawahi kuliona hilo andiko ila ni vizuri sana kuwa karibu na watu wetu wa karibu pale inapobidi...!
 
Aisee pole sana kiongozi, kikawaida binadamu baadhi yao wapo hivyo ukijiweka nao karibu sana inakuwa unaongeza shida nyingi kwa upande wako, watakujazia matatizo yao lukuki kiasi kwamba mpaka unajutia.

Kuna jamaa ilikuwa akipigiwa simu na ndugu zake swali lao kubwa utaskia "UNAOA LINI ETI...?" basi huwa anakereka sana, ikampelekea kutopokea simu zao na hata yeye mwenyewe hawapigii tena siku hizi labda itokee dharura kubwa.
Ni wasumbufu sana
Kwasasa siwapigii hata iweje shida zangu napambana nazo mwisho wamebaki kusema naringa ila nafurahi kuishi haya maisha

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Aisee pole sana kiongozi, kikawaida binadamu baadhi yao wapo hivyo ukijiweka nao karibu sana inakuwa unaongeza shida nyingi kwa upande wako, watakujazia matatizo yao lukuki kiasi kwamba mpaka unajutia.

Kuna jamaa ilikuwa akipigiwa simu na ndugu zake swali lao kubwa utaskia "UNAOA LINI ETI...?" basi huwa anakereka sana, ikampelekea kutopokea simu zao na hata yeye mwenyewe hawapigii tena siku hizi labda itokee dharura kubwa.
Ni wasumbufu sana
Kwasasa siwapigii hata iweje shida zangu napambana nazo mwisho wamebaki kusema naringa ila nafurahi kuishi haya maisha

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ni wasumbufu sana
Kwasasa siwapigii hata iweje shida zangu napambana nazo mwisho wamebaki kusema naringa ila nafurahi kuishi haya maisha

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kiukweli kuna baadhi ya ndugu ni wasumbufu kupita maelezo, inafikia mpaka mtu anaona ni bora asiwe na mawasiliano nao ili tu kuepuka usumbufu wao kiongozi.
 
Nawakumbuka wengi sana pia hope nao wananikumbuka kwanini sasa wasinitafute wao maana ndo wengi me ni mmoja kama hawataki bas tujifunze kubalance shobo
 
Nawakumbuka wengi sana pia hope nao wananikumbuka kwanini sasa wasinitafute wao maana ndo wengi me ni mmoja kama hawataki bas tujifunze kubalance shobo
Inakera sana kuona wewe unawapigia, unajali, unawasalimu ila wao wanapotezea, mwishowe inakufanya nawe uwapuuze tu.
 
Inakera sana kuona wewe unawapigia, unajali, unawasalimu ila wao wanapotezea, mwishowe inakufanya nawe uwapuuze tu.
Ndo maisha nilochaguta mkuu haya mambo ukijifanya ndo mtu wa watu kumbe watu wenyewe sio wako niliachana nayo asee
 
Ndo maisha nilochaguta mkuu haya mambo ukijifanya ndo mtu wa watu kumbe watu wenyewe sio wako niliachana nayo asee
Safi sana kiongozi unatakiwa kumjali anayekujali pia...!
 
Back
Top Bottom