Nani Ameanza kumwandikia nyimbo Alikiba hivi karibuni?

Nani Ameanza kumwandikia nyimbo Alikiba hivi karibuni?

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Ningependa kufahamu anaye mwandikia Ali mashairi siku hizi.

Kwani Toka Ngoma ya UTU to the latest songs ie mahaba and on fire it seems mwandishi ni mmoja kabisa.

Kusema kweli mashairi ya kwenye hizi nyimbo yamepangiliwa na kupangika kwelikweli.

Ndiyo maana nyimbo zake hizi latest vijana wamezifanyia sana cover YouTube kuliko nyimbo za msanii yeyote Tanzania.

Tuambiwe sasa mastermind wa mashairi haya Ili tumpe maua yake.
 
Lalala ,nadhani mwindishi yuko mule ndani ya kings music na ni kweli nyimbo nyingi Zina maudhui yanayofanana na ni nzuri sana
Nadhani kwa Sasa ndio jamaa anaenjoy music kuliko wakati mwingine
 
Lalala ,nadhani mwindishi yuko mule ndani ya kings music na ni kweli nyimbo nyingi Zina maudhui yanayofanana na ni nzuri sana
Nadhani kwa Sasa ndio jamaa anaenjoy music kuliko wakati mwingine
Nadhani la Lal la, Ali achia wakati mnaya. (Ramadhani ndo ilikuwa bado wiki)
👉Maana hakuifanyia hata promotion
 
Na siri tu ya jambo lile ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh
Na siri yake tu jambo lile ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh!
 
Ningependa kufahamu anaye mwandikia Ali mashairi siku hizi.

Kwani Toka Ngoma ya UTU to the latest songs ie mahaba and on fire it seems mwandishi ni mmoja kabisa.

Kusema kweli mashairi ya kwenye hizi nyimbo yamepangiliwa na kupangika kwelikweli.

Ndiyo maana nyimbo zake hizi latest vijana wamezifanyia sana cover YouTube kuliko nyimbo za msanii yeyote Tanzania.

Tuambiwe sasa mastermind wa mashairi haya Ili tumpe maua yake.
mahaba jamani dahhh
 
Nadhani la Lal la, Ali achia wakati mnaya. (Ramadhani ndo ilikuwa bado wiki)
[emoji117]Maana hakuifanyia hata promotion
Ule wimbo nimepata mda wa kusikiliza baada ya kupata time ya kupumzika
Mzuri sana vijana wanajitahidi mashairi rhythm video vyote class sana
 
Back
Top Bottom