Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukodi ukumbi kama ule ni shilingi ngapi?Je, ni wanachadema wasiompenda Mbowe au ni wanaCCM wasiopenda mambo yalivyo kwenye awamu hii?
Je, ni fedha za wazungu?
Nani ana majibu haya maana Mh. Lissu hana fedha za kuweza kulipia gharama zote za mkutano na wajumbe.
Ndiyo utusaidie majibu ili tupate picha.Ukumbi, malazi, nauli na posho za wajumbe ni Bei gani? Uliza hivyo.
Je, ni wanachadema wasiompenda Mbowe au ni wanaCCM wasiopenda mambo yalivyo kwenye awamu hii?
Je, ni fedha za wazungu?
Nani ana majibu haya maana Mh. Lissu hana fedha za kuweza kulipia gharama zote za mkutano na wajumbe.
Uh, kutofautiana mitazamo siyo ugomvi.Diaspora kupitia clubhouse room ya sauti ya watanzania Aka sauti ya Wapumbavu