marinji
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 421
- 497
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahah anachokozwa mtu hapa
😂😂😂🤣🤣hahahah anachokozwa mtu hapa
Siyo lazima uelewe kila kitu mkuu, ...Sijui umeandika ushubwada gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukilima, kuvuna kwa wakati na ukapata mavuno uliyotarajia unafurahi ila jirani yako ambaye ameshindwa kulima lazima umuonee huruma.Kwa hiyo mtu kukosa show za nje unataka kuzihusisha na Corona ?
Siyo lazima uelewe kila kitu mkuu, ...
Hata shule kuna aliyekuwa anakuacha mbali kwenye matokeo ya mtihani so siyo lazima uelewe kila kitu.
Nyimbo ikifikisha miaka 15 unaitumia bila kuomba (mdundo wa wimbo)Nimesikiliza nyimbo zake 4..ikiwemo ile Diena Khaligraph Jones ila amesample vibaya sana nyinbo ile ya wyclef Jean ft MiA -she used to be a sweetest girl kama hakuomba copyright kisample hio beat itakuja mletea shida siku za mbeleni