Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
nashangaa watu kama wewe corona inawaacha mpaka sasami sijui nakwama wapi? mbona naona hii album ya kawaida kabisa! 85% ya nyimbo zote n sample ya zile zilizotamba huko nyuma, kimelody, beat na hata lyrics ... afu kiingereza chake lolololololooooh! kajitahid tu kwny refix ya "never give up" kwengine kaboronga.... unaija mwingi
kingine hii album kaimba km mtu aliye kwny mawazo mengi ya kuonewa, sauti yake kwa kiasi fulani inatia huruma...
mwisho ni kuwa next time ajitahid kuchanganya producers, sio album nzima wawili au watatu tu!
yangu ni hayo
mi sijui nakwama wapi? mbona naona hii album ya kawaida kabisa! 85% ya nyimbo zote n sample ya zile zilizotamba huko nyuma, kimelody, beat na hata lyrics ... afu kiingereza chake lolololololooooh! kajitahid tu kwny refix ya "never give up" kwengine kaboronga.... unaija mwingi
kingine hii album kaimba km mtu aliye kwny mawazo mengi ya kuonewa, sauti yake kwa kiasi fulani inatia huruma...
mwisho ni kuwa next time ajitahid kuchanganya producers, sio album nzima wawili au watatu tu!
yangu ni hayo
Hapa ndo na mim nashangaaa Harmonize kiukwel katoa Album kali sana cjapata kuona yan kajitahid sana Nyimbo zote n nzuri sana jamn.Dah yani hatari ...ila bado kuna watu wanamlinganisha tembo na nyegezi rayvan
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikiliza nyimbo zake 4..ikiwemo ile Diena Khaligraph Jones ila amesample vibaya sana nyinbo ile ya wyclef Jean ft MiA -she used to be a sweetest girl kama hakuomba copyright kisample hio beat itakuja mletea shida siku za mbeleni
angefanya Diamond hii pasingekalika kila kona makeleleNimesikiliza nyimbo zake 4..ikiwemo ile Diena Khaligraph Jones ila amesample vibaya sana nyinbo ile ya wyclef Jean ft MiA -she used to be a sweetest girl kama hakuomba copyright kisample hio beat itakuja mletea shida siku za mbeleni
Cheka kdg, najua ww unapenda kuvunjika mbavuMie sijui nafeli wapi!duh...! Hongera becky kusikiliza
ardhi huyo anayesema anafanana naye..hahahhaaCheka kdg, najua ww unapenda kuvunjika mbavu
Ova
View attachment 1395741
Sent using Jamii Forums mobile app
Two wrongs dont make a right issue niliozungumzia ni kuomba rights of usage...
2007 hadi leo ni miaka mingapi?Nyimbo ikifikisha miaka 15 unaitumia bila kuomba (mdundo wa wimbo)
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu weka picha tuone uelekeo wakeDogo anapoelekea ni pazuri sana jama ana kipaji na anaakili sana kuliko rayvan.nyegezi na domo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo anapoelekea ni pazuri sana jama ana kipaji na anaakili sana kuliko rayvan.nyegezi na domo
Sent using Jamii Forums mobile app
I agree....
But is a CCM fan!I agree....