Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Miaka miwili ya Waziri Bashe imekatika; Kwa tathimini ya kisekta Nani amemwelewa anatupeleka wapi? Je, unaona picha ya nchi kuwa na kilimo kama uti wa mgongo?
Tukimkumbusha kwamba UPO uwezekano akawa anamilikisha ardhi kwa wageni akiamini anainua kilimo tutakuwa tunakosea? Ana uhakika kwamba anaowaita wawekezaji ni wawekezaji au niwamiliki wa ardhi?
Tukimkumbusha kwamba UPO uwezekano akawa anamilikisha ardhi kwa wageni akiamini anainua kilimo tutakuwa tunakosea? Ana uhakika kwamba anaowaita wawekezaji ni wawekezaji au niwamiliki wa ardhi?