Nani amemwelewa Waziri wa Kilimo anatupeleka wapi?

kumbe huna ushahidi wowote acha kubwabwaja bas
Hukusukia wiki iliyopita watoto wamekufa kwa kula sumu iliyopulizwa kwenye nyanya, imeripitiwa hata na JF instagram page, au huwa unasomaga tu page za umbea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…