mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Niaje,
Nilitumiwa ujumbe huu kwenye simu yangu;
ZUIAUHALIFU
Jihadhari na Usafirishaji Haramu wa Binadamu. Watu wanatumikishwa, wanateswa, wanatolewa figo na kuuawa.
Tushirikiane kupiga vita uhalifu huu.
...
Nani mwingine amepata ujumbe kama huu kwenye simu yake?
OVA
Nilitumiwa ujumbe huu kwenye simu yangu;
ZUIAUHALIFU
Jihadhari na Usafirishaji Haramu wa Binadamu. Watu wanatumikishwa, wanateswa, wanatolewa figo na kuuawa.
Tushirikiane kupiga vita uhalifu huu.
Nani mwingine amepata ujumbe kama huu kwenye simu yake?
OVA